Boss mademu wakenya mang'aa hata si wenyewe twa tamani tu come tz ama ugFaoro nitafutie demu wa kikenya awe mke
Wewe ni nani tena yaani umetokea wapi Wakenya hatujui kiswahili sio siri wala hatufichi....ingawa tunakifahamu kama asilimia sitini hivi.Hakuna kumuambia maana huyu ubaya ubaya tu,nyie si ndio mnakikandiaga kiswahili halafu mnasemaga hatujui kingreza
Na nyinyi TZ pia kizungu kidogo hutatiza ...sio siri ukweli na usemwe .wee nnani tena ...yaani umetokea wapi...wakenya hatujui kiswahili sio siri wala hatufichi....ingawa tunakifahamu kama asili mia sitini hivi... Stupid
Asante sana ...haya nganja nganja, miwala, saidia ndugu jiraniHivyo shira Ni sugar syrup kwa ufupi...au...
Kama hujui kiswahili utatafuta kamusi ili ujue maana ya neno linalofuata mwishoni mwa hii comment.Neno lenyewe ni wewe ni "pumbavu"wee nnani tena ...yaani umetokea wapi...wakenya hatujui kiswahili sio siri wala hatufichi....ingawa tunakifahamu kama asili mia sitini hivi... Stupid
Dah umenifumbua manake Zuchu nilikuwa hata simuelewiShira ni Sukari ambayo inakua inachanganywa na maji kidogo then inapikwa hadi inakua ktk molten state (rojorojo) .Wanaitumia kuiweka ktk vyakula kama vile Visheti , Kaimati na DonutsView attachment 1695891View attachment 1695892