Dodo18
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 315
- 93
Itakuaje dini ya mungu ilikufa ikahitaji kufufuliwaMuhimu. Swali lako limejikita katika dinii naomba nikujibu kwa mujibu wa Kitabu na sunna.(Qur'an na hadith)
Kwanza kabisa naomba ufahamu kuwa uislam umeenzaa kwa nabii Adam kuendelea, isipokuwa wakati anakuja naabii Muhammad (Rehema na amani ziwe juu yake) umma ulikuwa umepotea na kuuacha uislamu hivyo ktk kipindi kile uislamu ulishasahaulika na watu. Hata hivyo watu walee walikuwa wanaabudu masanamu.
Sasa mtume alivyokuja kuwaita watu katika uislamu, umma ule ukawa haujui kabisa uislam na ndiyo maana wakamuwekea vipingamizi vizito mtuu juu ya itikadi anayoitangaza,
Kwa kauli nyepesi tunasema mtume alikuja kufufua uislam katika umma ambao uislamu ulipokufa.
Kuhusiana na manabii na mitume wote waliopita walikuwa waislam ushahidi tunaupata kwenye Qur'an.