Je, mimi ndio mzembe au binti ndio kazingua?

Mzee wa kupambania

JF-Expert Member
Aug 14, 2022
17,749
42,712
Kuna pisi fulani ya kipare ilinikubali sana na mimi nilimwelewa. Tulishapiga sana romance, nimemtoa out mara kadhaa.

Siku moja usiku wa saa sita baada ya romance demu akataka game mimi nikakataa kwa sababu muda ulikuwa umeenda nikamwambia tugegedane siku nyingine. Alikubali ila kinyonge sana.

Baadaye alinilaumu ila mimi nikachukulia poa. Baada ya kulalamika siku moja nikamwambia niko tayari akakataa. Nilimtumia meseji hakujibu nilimpigia simu hapokei. Na kwa kuwa mimi huwa sipendi sana kubembeleza tumemwagana, hatuna mawasiliano ila tukikutana zimebaki salamu tu. Ila kikweli bado namtamani hata leo akisema ananipa game sikatai.

Inaniuma sana mpaka tunaachana sikuwahi kula mbususu yake.

Je, mimi ndiye mzembe au demu ndio kazingua? Ushauri wenu tafadhali
 
Kuna pisi fulani ya kipare ilinikubali sana na mimi nilimwelewa. Tulishapiga sana romance, nimemtoa out mara kadhaa.

Siku moja usiku wa saa sita baada ya romance demu akataka game mimi nikakataa kwa sababu muda ulikuwa umeenda nikamwambia tugegedane siku nyingine. Alikubali ila kinyonge sana.

Baadaye alinilaumu ila mimi nikachukulia poa. Baada ya kulalamika siku moja nikamwambia niko tayari akakataa. Nilimtumia meseji hakujibu nilimpigia simu hapokei. Na kwa kuwa mimi huwa sipendi sana kubembeleza tumemwagana, hatuna mawasiliano ila tukikutana zimebaki salamu tu. Ila kikweli bado namtamani hata leo akisema ananipa game sikatai.

Inaniuma sana mpaka tunaachana sikuwahi kula mbususu yake.

Je, mimi ndiye mzembe au demu ndio kazingua? Ushauri wenu tafadhali
Ulikuwa na sababu gani kumkatalia?.
Je hukuwa na zana?
Ulihofia afya yake au sababu gani?

Nilijuavyo mwanamke akiwa na nyege kali ukamkatili wengi hupoteza hisia kwKo.
Sio lazima niwe sahihi mie mgeni pande hizi🤣
Demi tushauri
 
Kuna pisi fulani ya kipare ilinikubali sana na mimi nilimwelewa. Tulishapiga sana romance, nimemtoa out mara kadhaa.

Siku moja usiku wa saa sita baada ya romance demu akataka game mimi nikakataa kwa sababu muda ulikuwa umeenda nikamwambia tugegedane siku nyingine. Alikubali ila kinyonge sana.

Baadaye alinilaumu ila mimi nikachukulia poa. Baada ya kulalamika siku moja nikamwambia niko tayari akakataa. Nilimtumia meseji hakujibu nilimpigia simu hapokei. Na kwa kuwa mimi huwa sipendi sana kubembeleza tumemwagana, hatuna mawasiliano ila tukikutana zimebaki salamu tu. Ila kikweli bado namtamani hata leo akisema ananipa game sikatai.

Inaniuma sana mpaka tunaachana sikuwahi kula mbususu yake.

Je, mimi ndiye mzembe au demu ndio kazingua? Ushauri wenu tafadhali
kama mazingira hayakukuruhusu kufanya hicho kitu hukukosea mkuu usifosi utakuja kujutia
 
Back
Top Bottom