Je, mikopo kupitia pension kwa watumishi wa umma bado ipo?

Mkyamise

JF-Expert Member
Apr 14, 2014
454
555
Habari za muda huu waungwana?

Miaka ya nyuma kidogo kulikuwa na utaratibu wa mtumishi wa umma anapofanya kazi na kukatwa pension kwa miaka 15+ anaweza kukopeshwa sehemu ya pension yake na mfuko anaouchangia.

Je, utaratibu huo bado upo? Najua humu wapo wajuzi wa mambo mengi na bila shaka mtanisaidia kufahamu hili.

Asanteni.
 
Habari za muda huu waungwana?

Miaka ya nyuma kidogo kulikuwa na utaratibu wa mtumishi wa umma anapofanya kazi na kukatwa pension kwa miaka 15+ anaweza kukopeshwa sehemu ya pension yake na mfuko anaouchangia.

Je, utaratibu huo bado upo? Najua humu wapo wajuzi wa mambo mengi na bila shaka mtanisaidia kufahamu hili.

Asanteni.
Naona akili imefika mwisho
 
Habari za muda huu waungwana?

Miaka ya nyuma kidogo kulikuwa na utaratibu wa mtumishi wa umma anapofanya kazi na kukatwa pension kwa miaka 15+ anaweza kukopeshwa sehemu ya pension yake na mfuko anaouchangia.

Je, utaratibu huo bado upo? Najua humu wapo wajuzi wa mambo mengi na bila shaka mtanisaidia kufahamu hili.

Asanteni.
Hili niliwahi kisikia miaka kadhaa nyuma. Ila nilisikia kuwa hawakupatii pesa ila kama ni nyumba wanakununulia kiwanja ukitakacho na wanakujengea.
 
Ukistaafu alafu unalipwa pension kile kinachobaki kule kwenye mfuko kuna benk zinakukopesha zamana ni ile chenji iliyobaki mfukoni
 
Back
Top Bottom