Je, mikoa ya Rukwa, Mbeya, Njombe, Ruvuma, Katavi na Iringa nayo haina mvua?

8f0eda58d85b28fc3cef6cfc8717e8e1.jpg
Siongei na mapunga mm, naongea na watu wenye akili zao,
 
Mkuu...! wiki iliyopita nikikuwa shambani kwangu, Katavi-Mpanda-Kakese
Nimeshapanda Mpunga wangu, Mvua zinanyesha za kutosha, na kama zikikata, huwa tuna mito inayotiririsha maji throughout the year, ndani ni water pump zangu tatu!

Na mda huu nipo nyumbani kwangu naandaa chakula cha mchana (natumia akiba ya mwaka ulipita), mwenye njaa namkaribisha home, siku njaa ikiisha, atarudi nyumbani kwake.

sinaga choyo
Mkuu niunganishe na mm nilime huko.
 
Mimi nyumbani ni Rukwa, Namanyere kwa sasa niko dar lkn napokea taarifa za kila siku kwmb kule nyumbani mvua ipo kama kawaida na kilimo kinaendelea vzr tu
 
Na Mkoa mpya wa Songwe na hasa Mbozi (wakulima wa mahindi, maharage nk) mvua inanyesha vizuri sana. Na kama wewe ni mvivu wa kulima usiende kipindi hiki mkoa wa Songwe na hasa Mbozi......NAMALA.
Safi sanaa nafurahi kwa taarifa hii..

Mimi wa mbeya ila nipo kagra kujenga nchii,

Huku kagera mvua ilinyesha siku2 zile alizo kuja magufuli ila baada ya hapo sijaona mvua aisee

Nacho shangaa ziwa si hilo hapo tuu badala wafanye mpango kujikusanya wananchi wachimbe mfereji kama ule wa mboI iyula ndan ndam wafanye umwagiliaji wanasubili mvua


Huuu mkoa njaa yaja mamaee tena ya.nguvu
 
Wafugaji wakae hukohuko. Hawa ni watu waharibifu sana. Sasa hivi nchi inalia na uhaba wa chakula siyo nyama au ngozi.

Unapoingia mkoani Ruvuma kutokea Njombe kuna bango kubwa linasema ni marufuku kuingiza mifugo mkoani Ruvuma bila kibali. Wale waliojaribu walitimuliwa ma ngómbe wao.
Wafugaji walikuwepo sana mbalali na chunya
Ila walilazimisha kupunguza mifugo na wengine.kuhama kabisa

Wale watu ni tatizo kule chunya mwaka 2007 bado walikuwepo barabara kiangaz haipitiki kwa vumbi na.kifuku haipitiki kwa matope kisa mifugo yao


Hawafai kabisa wabaki hukohuko....tazama.shinyanga ilivyo kame aisee
 
Mada hii inachangiwa kipuuzipuuzi

Ushabiki wakijinga namajibu ya kupika

mwaka huu mbeya....zimechelewa kupita maelezo

Hadi december 25 mvua za kubahatisha tena kurukaruks.

kawaida mvua huanza october au november mwanzoni

Ukifika mbeya.....tazama milima bado ipo wazi .....kuashiria uoto wa asili haujapata maji vema kuifanya iwe rvergreen

Acheni ushenzi....kupotosha wasioijuwa mbeya.
Mvua hata mwaka jana baadhi sehem.mbeya ilichelewa kunyesha


Sasa wewe kama mkulima utapandaje mahindi kwa.mvua za kushtukiza mvua ikiwai tunapanda october inapozid chelewa ndivyo tunavyozd chelewa kupanda


Shamba.letu mbeya pale CHIWANDA Tulipanda mwaka.jana mahindi mwez wa kwanza ila mwaka juz tulipanda mwezi wa11 na 2014 tulipanda wa10 mwishoni


Kama mvua ya kutosha imeanza december basi ni ahuen mkuu

Mwaka sipo huko ila wazazi wanasema inajitahid kwa mala ya mwisho niliongea nao december

Kwa upande wa kahawa sina shaka shamba lipo jiran na.mifereji so wana pambaneni na.hali yenu


Msilazimishe kumkomoa magu njaa haifai wajamenii
 
May 2016 mbeya mahindi 7000 -8000/debe

Jan 2017 mbeya mahindi 15000<= debe mashineni

ujazo ni ndoo ya Lita 20

Endelezeni siasa ....ukweli hali sio nzuri

Mchele bado mbeya bei haijaathilika sana
Mvua ya mwaka.juz kuelekea mwaka jana haikuwa.nzur aisee

Kwa upande wa mkoa mbozi mahindi hawakupata.sana km mwaka uliopita kabla ya huo na.ndio mahindi.bei juu kwa sasa

Ukizingatia na mzungo wa pesa ulivyo mgumu ndio mana watu wanalia njaa kumbe njaa niyapesa

Ukame huu hauna impact yeyote kwa vilio vya sasa vya njaa kwasababu huwa hatuli MIGAGI wala mazao mateta


Na.kila mwaka miez ya kilimo kama hii huwa mazao ni.bei ya juu kwasababu sio.kipindi cha mavuno


Nchi haina njaa serious ila njaa yaja kama kweli ukame upo sehem kubwa ya nchi



Morogoro na tanga ni vipi mkuu
 
Wengi kwenye uzi huuu mnajitekenya wenyewe
eti
Ndio hapo sasa utafikiria hizi mvua zinazonyesha sasa ndio zinaleta chakula sasa wakati kwa sasa tunazungumzia upungufu wa chakula uliopo sasa, ambao ni mazao ya msimu uliopita!! Japo zina weza kuwa na uhusiano kidogo, waziri anasema eti mbona morogoro watu wanapanda njaa iko wapi kweli?? Eti vyakula vimejaa masokoni ila bei ndio iko juu, sana na sio njaa!! Sasa kama mwananchi alizoea kununua mahindi debe sh. 6000 leo limefika 18000!! Ameshindwa kumudu unasema hakuna njaa ni bei tu ndio zimepanda kwakuwa pesa imezibitiwa kwa wapiga deal?!
 
Mvua ya mwaka.juz kuelekea mwaka jana haikuwa.nzur aisee

Kwa upande wa mkoa mbozi mahindi hawakupata.sana km mwaka uliopita kabla ya huo na.ndio mahindi.bei juu kwa sasa

Ukizingatia na mzungo wa pesa ulivyo mgumu ndio mana watu wanalia njaa kumbe njaa niyapesa

Ukame huu hauna impact yeyote kwa vilio vya sasa vya njaa kwasababu huwa hatuli MIGAGI wala mazao mateta


Na.kila mwaka miez ya kilimo kama hii huwa mazao ni.bei ya juu kwasababu sio.kipindi cha mavuno


Nchi haina njaa serious ila njaa yaja kama kweli ukame upo sehem kubwa ya nchi



Morogoro na tanga ni vipi mkuu
We naye unatuchanganya kulingana na takwimu za waziri wa kilimo ni kuwa mwaka jana ndio kulikuwa na mavuno mengi ambayo hayajawahi tokea tangu uhuru!! Unaposema eti pesa ndio imekosekana na sio chakula sio kweli ni mwaka gani debe la mahindi limetoka wastani wa shilingi 6000 hadi 18000?? Ina maana hata ingekuwa ni kipindi cha kikwete wangapi wange weza mfumuko huo wa bei?! Acha kupotosha vitu, eti pesa ndio imepotea ingekuwa hivyo bei ya mahindi ingekuwa ni ile ile 6000 sababu yako ingekuwa na mashiko. MCHUMI mwingine anasema eti hakuna njaa masoko yote yamejaa vyakula, bila kuangalia je hizo bei wangapi wanaziweza kwa sasa. Au ndio kile alichosema lisu kuwa mna i define njaa kutoka vitabuni kuwa ni ukosefu kabisa wa chakula!??
 
kilimanjaro nako hakuna mvua kabisa kwa mara ya kwanza hakuna mvua za vuli hapa inasubiriwa masika kama kitaeleweka
 
Mvua inanyesha mbozi. .rungwe. ..mbeya mjini.. .kyela jua Kali Mpaka huruma.. .mbalali Ndio jangwa kabisa
 
sawa zinanyesha je ni zile za kupandia???
au mnaropoka bila kusoma nyakati
 
Mvua zinanyesha sana wakuu, kwa wale waliopo kinondoni, kwa mtogole, manzese na mabibo kuna mvua ya kufa mtu, leo ni wiki ya pili zinanyesha mfululizo.

Hata mazao yaliyokwisha pandwa yameshaota na yamestawi vizuri.
Inakadiriwa mavuno yake yatalisha dar yote na ziada itatosha kuilusha Rwanda na Burundi kwa pamoja.
 
We naye unatuchanganya kulingana na takwimu za waziri wa kilimo ni kuwa mwaka jana ndio kulikuwa na mavuno mengi ambayo hayajawahi tokea tangu uhuru!! Unaposema eti pesa ndio imekosekana na sio chakula sio kweli ni mwaka gani debe la mahindi limetoka wastani wa shilingi 6000 hadi 18000?? Ina maana hata ingekuwa ni kipindi cha kikwete wangapi wange weza mfumuko huo wa bei?! Acha kupotosha vitu, eti pesa ndio imepotea ingekuwa hivyo bei ya mahindi ingekuwa ni ile ile 6000 sababu yako ingekuwa na mashiko. MCHUMI mwingine anasema eti hakuna njaa masoko yote yamejaa vyakula, bila kuangalia je hizo bei wangapi wanaziweza kwa sasa. Au ndio kile alichosema lisu kuwa mna i define njaa kutoka vitabuni kuwa ni ukosefu kabisa wa chakula!??
Mimi naongea kama mkulima wa mbeya na songwe

Mavuno ya mwaka juzi tulipata sana kufananisha na mwaka jana kwa hiyo mikoa tajwa..

Hizo takwimu za serikali wanajua wao

Njaaa sasa
Hivi ukame wa mwaka huu unauhusiano gan na njaa ya sasa wananchi wanayo lia lia??

Kuna mahindi wanayo vuna mwezi december au January??

Kama mwaka jana hakukua ukame ila sasa kuna ukame we unadhan nchii itakumbwa na njaa lini??


Mimi nacho sema kwamba njaa hakuna ila njaa yaja kama kweli sehem kubwa ya nchi ina ukame

Kwasababu mahindi tunavunaga kuanzia mwezi may mpk..july

Sasa kama umetaja bei ya sasa ni hiyo basi fikiria bei itakayo kuwa mwaka kesho mwezi kama huu..

Maana nafaka tunazo kula sasa ndizo tulizo vuna mwezi may mpk. July mwaka jana ambapo hakukua na ukame. Na bei ipo hivi


Hizo takwimu deal nazo mwenyewe..
ila ukweli ndio huo njaa yaja nw mnalialia tuu, na sure pesa kitaa hakuna kabisa
 
Mvua inanyesha mbozi. .rungwe. ..mbeya mjini.. .kyela jua Kali Mpaka huruma.. .mbalali Ndio jangwa kabisa
Mkuu kama.kyela.na.mbalali hakuna mvua basi.ubwaubwa utakuwa gharama kubwa sana..


Sijajua kamsamba ila kula huwaga wana maji hata kama.mvua hakuna.kama sijakosea


Kwa mbalali ni tatizo maana ni kam mito ya iringa inapeleka maji morogoro


Sheeda yaja
 
Back
Top Bottom