Je, mikoa ya Rukwa, Mbeya, Njombe, Ruvuma, Katavi na Iringa nayo haina mvua?

Hivi pia kwanini wafugaji wasihamie hiyo mikoa mbona majani ni mengi na ardhi nyingi ipo idol, wao wanakomaa huko dodoma, simanjiro, manyara wakati ni kukame sana

Wafugaji wakae hukohuko. Hawa ni watu waharibifu sana. Sasa hivi nchi inalia na uhaba wa chakula siyo nyama au ngozi.

Unapoingia mkoani Ruvuma kutokea Njombe kuna bango kubwa linasema ni marufuku kuingiza mifugo mkoani Ruvuma bila kibali. Wale waliojaribu walitimuliwa ma ngómbe wao.
 
Mkuu...! wiki iliyopita nikikuwa shambani kwangu, Katavi-Mpanda-Kakese
Nimeshapanda Mpunga wangu, Mvua zinanyesha za kutosha, na kama zikikata, huwa tuna mito inayotiririsha maji throughout the year, ndani ni water pump zangu tatu!

Na mda huu nipo nyumbani kwangu naandaa chakula cha mchana (natumia akiba ya mwaka ulipita), mwenye njaa namkaribisha home, siku njaa ikiisha, atarudi nyumbani kwake.

sinaga choyo
86526300d5b8528f661248e7f11e29c2.jpg
c53193041005d0d26fa64f27738facb6.jpg
 
Mada hii inachangiwa kipuuzipuuzi

Ushabiki wakijinga namajibu ya kupika

mwaka huu mbeya....zimechelewa kupita maelezo

Hadi december 25 mvua za kubahatisha tena kurukaruks.

kawaida mvua huanza october au november mwanzoni

Ukifika mbeya.....tazama milima bado ipo wazi .....kuashiria uoto wa asili haujapata maji vema kuifanya iwe rvergreen

Acheni ushenzi....kupotosha wasioijuwa mbeya.
 
May 2016 mbeya mahindi 7000 -8000/debe

Jan 2017 mbeya mahindi 15000<= debe mashineni

ujazo ni ndoo ya Lita 20

Endelezeni siasa ....ukweli hali sio nzuri

Mchele bado mbeya bei haijaathilika sana
 
NI MBEYA IPI HII??????

MAANA NASIKIA SERIKALI YA MKOA WA MBEYA IMEPIGA MARUFUKU KULIMA MAHINDI KWA SABABU MAJAMBAZI WANAJIFICHA KATIKA MAHINDI, HIVYO LIMENI MAHARAGWE TU NA MAZAO AMBAYO HAYAZIDI UREFU WA FUTI MOJA KWENDA JUU.
Kumbe unasikia tu, ila tulioko huku ndio tunaona ...
 
Mada hii inachangiwa kipuuzipuuzi

Ushabiki wakijinga namajibu ya kupika

mwaka huu mbeya....zimechelewa kupita maelezo

Hadi december 25 mvua za kubahatisha tena kurukaruks.

kawaida mvua huanza october au november mwanzoni

Ukifika mbeya.....tazama milima bado ipo wazi .....kuashiria uoto wa asili haujapata maji vema kuifanya iwe rvergreen

Acheni ushenzi....kupotosha wasioijuwa mbeya.
We ndio mshenzi mkuu , uachage kukurupuka. Umeulizwa mvua ipo au haipo? Wacha porojo za imechelewa au imewahi nani kakuuliza?
 
We ndio mshenzi mkuu , uachage kukurupuka. Umeulizwa mvua ipo au haipo? Wacha porojo za imechelewa au imewahi nani kakuuliza?

Imekuuma.....mtakufa kwa kutetea ujinga na ccm yenu

mimi niko mbeya...nani mshenzi kama sio wewe!
 
Wote mlio comment kwenye mada hii mpo kisiasa zaidi.Mbeya mvua ni shida,kyela hakuna mvua
Wewe uko mbeya ipi isiyo na mvua? Acha uongo na uzandiki ndugu haukusaidii na hautakulipa chochote! Angalia picha hii hiyo ni mbeya.
C360_2017-01-21-13-34-45-897.jpg
 
We ndio mshenzi mkuu , uachage kukurupuka. Umeulizwa mvua ipo au haipo? Wacha porojo za imechelewa au imewahi nani kakuuliza?
C360_2017-01-21-16-00-16-762.jpg
C360_2017-01-21-15-29-00-515.jpg
hiyo ni mbeya kuelekea mkoa wa Songwe!! Na huo mhindi ni tsh 500 tu mlowo mbozi hivi hiyo njaa mnayoisema nyinyi ni ipi? Mkishamaliza kutumiwa kisiasa mtatumiwa kufanya nini?
 
Imekuuma.....mtakufa kwa kutetea ujinga na ccm yenu

mimi niko mbeya...nani mshenzi kama sio wewe!
Hiv jamani kuna mtu anaeleza habari ya ccm au chadema hapa? Nahic Kuna watu wanakunywa gongo humu walahi !!
 
Back
Top Bottom