Wakuu za asubuhi !
Wadau mimi binafsi ninaona ipo possibility kubwa ya kuja kuifreez account ya kumchangia Tundu Lissu kwa maagizo kutoka juu ! Je mnadhani hilo linawezakana kufanyika? Nini kifanyike kwasasa ? Ikitokea hivyo hatua gani zichukuliwe kwa aliye athirika na maagizo hayo toka juu? Karibuni kwa mawazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau mimi binafsi ninaona ipo possibility kubwa ya kuja kuifreez account ya kumchangia Tundu Lissu kwa maagizo kutoka juu ! Je mnadhani hilo linawezakana kufanyika? Nini kifanyike kwasasa ? Ikitokea hivyo hatua gani zichukuliwe kwa aliye athirika na maagizo hayo toka juu? Karibuni kwa mawazo
Sent using Jamii Forums mobile app