Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Wengi wa wanaomsapoti Meko wana roho za korosho/roho mbaya kama huyo wanayemsapoti.Ameelewa solid majority huyu,Sijui ana roho ya vipi?Kama hapendi suala hili na hampendi akae kimwa sie tufe naye binadamu mwenzetu.
"Naitamani Algeria na Venezuela"
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi baba yako na mama yako tushamchangia. Na usirudi hapa nyumbani kyuma wewe!
Haya mwerevu, wacha sisi watanzania tumchangie mtanzania mwenzetu aliyepigwa risasi 38 na 16 kupenya kwenye mwili wake na kupona kwa muujiza wa Mungu pekee.
Kuna dada kachangia 5mHivi mpo serious kabisa kumchangia Huyu MTU? Kweli nimeamini mwenye nacho huongezewa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie endeleeni kupanga uovu. Hatumchangii kwa sababu tunazo nyingi, wala hatumchangii kwa sababu tunabariki dhuluma anazofanyiwa na serikali/nchi (maana najua wewe na wenzako hamjui tofauti ya serikali na nchi). Tunamchangia kwasababu ni Mtanzania mwenye uhitaji wa kutengenezewa na serikali. Tunataka watoto wake wasome nae aishi hata baada ya kupotea haki zake za kufanya kazi(kwa risasi) ambayo ingempa kula, haki yake ya matibabu, haki zake kama mbunge. We endelea kupanga uovu mimi na wengine tutamchangia just kama tulivyomchangia matibabu na imewezekana kwa msaada wa Mungu. Kwa sasa ni Bora kukwepa kulipa baadhi ya K.di ambazo MATUMIZI yake ni ya kuwalipa nyie na kina Lipumba, na Konoike na takataka nyingine kama Channel X, nimchangie Lissu mzalendo wa kweli kwa Taifa. NB ni msimamo wangu sio lazima ufanane na wakoHivi mpo serious kabisa kumchangia Huyu MTU? Kweli nimeamini mwenye nacho huongezewa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli watoe account ya nje kabisa hapa bongo kwanza wachangaji tunaweza kufuatiliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hawa nyoka wa kijani hawajali wanaweza. Double standard ni kawaida. Mfano ni mingi tu. Mikutano kwao ruksa tena hadharani, lakini wengine wanapigwa mabomu mpaka mikutano ya ndani,Kama hawakuZuia kwa ruge, basi kwa lisu hawataweza na wakifanya hivyo nyeti Zao Zitazidi kuonekana ukweni, kwani watakuwa wanapiga tiktak huku wamevaa msuli ilihali hawajavaa boksa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa scenario hii akijaribu, atazidi kujionesha kwamba ni suspect.no1 behind lisu attempted assassinationWewe hawa nyoka wa kijani hawajali wanaweza. Double standard ni kawaida. Mfano ni mingi tu. Mikutano kwao ruksa tena hadharani, lakini wengine wanapigwa mabomu mpaka mikutano ya ndani,
Vyeti feki wengine wanatimuliwa wengine wanaitwa wachapa kazi,
Kimara walibomolewa mita Mia na zaidi bila fidia kisa mbunge ni upande wa pili lkn Mwanza wakaambiwa hao ni wapigakura walibomolewe, Ukitukana upande wa pili ruksa mfano Msiba lkn ukijibu kazi unayo. Kwa haya tu ni mfano kuwa hawashindwi
😂😂😂😂😂mkuu kwan hujui wa upande huo n amnazo?haian =haina
Shule ulienda kusomea ujinga.
Na misukule kama hii ndio mnaifanya ccm iwe na kiburi kwa upuuzi huu
Hivi kwa sasa ni ipi inamtoa kuwa suspect no 1??Kwa scenario hii akijaribu, atazidi kujionesha kwamba ni suspect.no1 behind lisu attempted assassination
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume kuwa na wivu wa kike kike kwa mwanaume mwenzio ni dalili za ushoga
Unaweza kuwa sahihi au kinyume chake vilevileHivi kwa sasa ni ipi inamtoa kuwa suspect no 1??
1. Hajawahi kutoa pole (binafsi sijasikia popote kwenye TV au gazetini au live)
2. Aliamuru anyimwe matibabu eti kwa kukiuka kupitia Mhimbili wakati wote tunajua haikuwa yeye anaeamua cha kufanya
3. No suspect to date
4. Ulinzi na CCTV kutolewa.
5. Kupigwa marufuku kumwombea tu !!!!
6. Marufuku T-shirt
7. Marufuku uchunguzi huru
8. Kauli za spika na yeye au yeyote from bunge kwenda kumwona.
9. Kutaka akamatwe akiwa bado mgonjwa
10. Kufutiwa posho zote na mishahara yake.
11. Amehoji issue ya MO ( japo napo suspect ni wao) lkn issue ya Lissu nayo kwa mtizamo wangu ni sensitive sawa au kuliko ya MO
12. Nguvu inayotumika na viongozi wote wa serikali kuzima issue ya Lissu na kutaka kutuaminisha kuwa ni adui wa Taifa.
KWANGU SUSPECT NO 1 hao
Acha wivu wa kike kikeHivi kuna watu wanamchangia huyu tapeli yuda eskarioti! Asalaleee yapige pesa mzee wewe waambie bado operation mbili za kalio wachange zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha wivu wa kike kike
MHUBIRI 4:13 SUV
"Heri kijana maskini mwenye hekima Kuliko mfalme mzee mpumbavu. ambaye hajui tena kupokea maonyo."
Tuliza mshono. Kuna mahali umeshikwa mikono ukalazimishwa uchangie? Ukiona vipi mchangie magufuli sisi tusio na roho za shetani tutamchangia Mtanzania mwenzetu anayefanyiwa dhuluma na serikali yetu