pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
Samahan wakuu mimi ni muhanga wa ajira hapa nchini na jana nimesikia tichaz wamegoma je wamegoma mpaka kuhesabu watu ili sisi tusio na ajira tujue kama tutapata japo kanafasi maana matichaz ndo walipewa first peority sasa vipi inakuwaje? Nawakilisha