The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,607
- 6,071
Leo ni takribani siku ya nne sasa umeme haujakatika sasa najiuliza mgao umeisha au kuna jambo jingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo ni takribani siku ya nne sasa umeme haujakatika sasa najiuliza mgao umeisha au kuna jambo jingine.
Itakuwa ya IPTL si ndio? Maana nasikia ile ya Symbion inatumia mafuta malaini sijui ndio yapi hayo, halafu hadi yajaribiwe kwanzahaujaisha....umepungua tu
mitambo imepata mafuta,mafuta yakiisha,unarudi.....
Elli yaani mgao umehama kutoka kwa siku kwenda kwa wikiweeee thubutu yako, mgao siku hizi ni wiki kwa wiki, subiri wiki hii ni zamu yako labda wiki ijayo ndio tutakua nao sie, nyie nanyi mtabaki gizani kwa wiki nzima.....
Elli yaani mgao umehama kutoka kwa siku kwenda kwa wiki
Leo ni takribani siku ya nne sasa umeme haujakatika sasa najiuliza mgao umeisha au kuna jambo jingine.
Mkuu hata siko makao makuu ila kwa kuwa tumekuwa gizani kwa muda mrefu nimeshangaa tokea Jumamosi umeme upo hadi leo JumanneUnakaa Tanesco makao makuu nini?
Mkuu hata siko makao makuu ila kwa kuwa tumekuwa gizani kwa muda mrefu nimeshangaa tokea Jumamosi umeme upo hadi leo Jumanne
Leo ni takribani siku ya nne sasa umeme haujakatika sasa najiuliza mgao umeisha au kuna jambo jingine.
Itakuwa ya IPTL si ndio? Maana nasikia ile ya Symbion inatumia mafuta malaini sijui ndio yapi hayo, halafu hadi yajaribiwe kwanza
Itakuwa ya IPTL si ndio? Maana nasikia ile ya Symbion inatumia mafuta malaini sijui ndio yapi hayo, halafu hadi yajaribiwe kwanza
mkuu wapi huko mgao umeishaMkuu hata siko makao makuu ila kwa kuwa tumekuwa gizani kwa muda mrefu nimeshangaa tokea Jumamosi umeme upo hadi leo Jumanne