lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Je, mfumo wa vyama vyingi vya siasa nchini tanzania ni kwa ajili ya kuapata misaada kutoka kwa wafadhili?
Je, mfumo huu wa vyama vyingi vya siasa umepokelewaje na viongozi wa serikali hasa Serikali hii ya awamu ya 5?
Mkuu wetu wa majeshi je ni muumini wa demokrasia ya mfumo wa vyama vyingi vya siasa?
Matendo yake yakoje kwenye mfumo wa vyama vyingi vya siasa?
Kwanini watanzania ambao wanasapoti wanaonekana vyama vya upinzania kwanini wanaonekana kama maadui wa taifa?
Kwanini wanaonekana kama vibaraka wa mabeberu?
Je,ni kweli wanaosapoti vyama vya upinzani ni vibaraka wa mabeberu?Kama ni kweli kwanini tusifute huu mfumo wa vyama vyingi vya siasa?
Je, tulipopata uhuru tulijaribu kujenga mfumo wa demokrasia wa chama kimoja tukashindwa kutokana na majaribio ya mapinduzi ya kijeshi ndio maana miaka 1992 tukaamua kujenga mfumo wa demokrasia ya vyama vyingi vya siasa?
Je, katiba zetu zilibadilika kutoka kwenye mfumo wa demkrasia ya mfumo wa chama kimoja,kuja katika mfumo wa demkrasia vyama vyingi vya siasa?
Je, katiba yetu na Sheria zetu zinaruhusu mfumo wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa?
Je, demokrasia katika nchi za Afrika ya Mashariki na Afrika kwa ujumla inaenda mbele au inarudi nyuma?
Tutafakari tuchukue hatua
Je, mfumo huu wa vyama vyingi vya siasa umepokelewaje na viongozi wa serikali hasa Serikali hii ya awamu ya 5?
Mkuu wetu wa majeshi je ni muumini wa demokrasia ya mfumo wa vyama vyingi vya siasa?
Matendo yake yakoje kwenye mfumo wa vyama vyingi vya siasa?
Kwanini watanzania ambao wanasapoti wanaonekana vyama vya upinzania kwanini wanaonekana kama maadui wa taifa?
Kwanini wanaonekana kama vibaraka wa mabeberu?
Je,ni kweli wanaosapoti vyama vya upinzani ni vibaraka wa mabeberu?Kama ni kweli kwanini tusifute huu mfumo wa vyama vyingi vya siasa?
Je, tulipopata uhuru tulijaribu kujenga mfumo wa demokrasia wa chama kimoja tukashindwa kutokana na majaribio ya mapinduzi ya kijeshi ndio maana miaka 1992 tukaamua kujenga mfumo wa demokrasia ya vyama vyingi vya siasa?
Je, katiba zetu zilibadilika kutoka kwenye mfumo wa demkrasia ya mfumo wa chama kimoja,kuja katika mfumo wa demkrasia vyama vyingi vya siasa?
Je, katiba yetu na Sheria zetu zinaruhusu mfumo wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa?
Je, demokrasia katika nchi za Afrika ya Mashariki na Afrika kwa ujumla inaenda mbele au inarudi nyuma?
Tutafakari tuchukue hatua