Kila awamu ilifanya mema na mabaya. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa katika awamu yake yako mema amefanya na yako mabaya amefanya pia. Akashauri kuwa unachukua mema unayandeleza mabaya unayaacha.
Sisi wananchi tumeshuhudia mema na mabaya ya kifanywa na awamu zote. Lakini ziko awamu zilibugi kupita kawaida. Na moja ya awamu ilibugi sana ni awamu aliyohudumu mh Membe akiwa waziri. Rushwa, ufisadi, Wanainchi kunyanyaswa wakienda ifisi ifisi za umma ilikuwa kawaida sana kiasi cha CCH kuitwa chukua chako mapema.ukisema wewe ni CCM ulionekana jambazi Fulani.
Yapo mengi yalikuwa yanatia hasira kiasi cha kwamba mpaka nchi majirani walituona sisi watanzania kama hamnazo kabisa kusema kuwa ni nchi maskini. Mfano ni rais wa Rwanda alithiriki kusema kuwa akipewa bandari ya Dar es salaam anaweza kuilisha Tanzania kama sio Afrika nzima.
Katika hoja za Mh Membe ni kwamba eti katika awamu zote NNE rais mpya anaheshimu watu aliyowakuta na anaongezea wa kwake kidogo. Kilichomuudhi eti kwa nini anasema kulikuwa na watu wa hovyo na mambo ya hovyo na nchi ilifanywa kuwa shamba la bibi.
Swali ni je anayoyasema Mh rais ni uongo? Makinikia yalibwebwa,twiga walibwebwa,bandarini mita feki,IPTL capacity charges za hovyo, Richmond,watu kutolipa kodi,vyeti feki,wafanyakazi hewa, miradi mingi kubinafsishwa hovyo nk. Sasa kama kulikuwa na mambo ya namna hii na yanafanywa na watu waliyoko serikalini na watu wa awamu zilizopita ulitaka mh rais afanyaje kwa mfano?
Unasema eti hamna Uhuru wa kujieleza mie sijaelewa ulitaka wapewe Uhuru was kutukana watu?wanasiasa wa vyama vya upinzani kuandamanisha watu kila kikicha?
Swali ni je kwa sababu maovu ya awamu zilizopita yaliwekwa bayana,na unajua utaratibu wa CCM rais aliyeko madarakani anaongoza kwa miaka kumi ,ni watu waliyohudumu awamu hizo ndiyo waliyokutuma kwamba umuondoe JPM iliwasiendeelee kuabishwa kwa kutokufanya vizuri katika uongozi wao? Na je ni wafanyabiashara wasiyolipa kodi na kuhujumu uchumi wamekutuma? Ni wenye vyeti feti na watumishi hewa wamekutuma? Ni nchi za mbali wamekutuma?kinachokufanya usisubiri hadi 2025 ni nini?umetabiriwa na mizimu kwamba lazima uwe rais before 2025?
Sisi wananchi tumeshuhudia mema na mabaya ya kifanywa na awamu zote. Lakini ziko awamu zilibugi kupita kawaida. Na moja ya awamu ilibugi sana ni awamu aliyohudumu mh Membe akiwa waziri. Rushwa, ufisadi, Wanainchi kunyanyaswa wakienda ifisi ifisi za umma ilikuwa kawaida sana kiasi cha CCH kuitwa chukua chako mapema.ukisema wewe ni CCM ulionekana jambazi Fulani.
Yapo mengi yalikuwa yanatia hasira kiasi cha kwamba mpaka nchi majirani walituona sisi watanzania kama hamnazo kabisa kusema kuwa ni nchi maskini. Mfano ni rais wa Rwanda alithiriki kusema kuwa akipewa bandari ya Dar es salaam anaweza kuilisha Tanzania kama sio Afrika nzima.
Katika hoja za Mh Membe ni kwamba eti katika awamu zote NNE rais mpya anaheshimu watu aliyowakuta na anaongezea wa kwake kidogo. Kilichomuudhi eti kwa nini anasema kulikuwa na watu wa hovyo na mambo ya hovyo na nchi ilifanywa kuwa shamba la bibi.
Swali ni je anayoyasema Mh rais ni uongo? Makinikia yalibwebwa,twiga walibwebwa,bandarini mita feki,IPTL capacity charges za hovyo, Richmond,watu kutolipa kodi,vyeti feki,wafanyakazi hewa, miradi mingi kubinafsishwa hovyo nk. Sasa kama kulikuwa na mambo ya namna hii na yanafanywa na watu waliyoko serikalini na watu wa awamu zilizopita ulitaka mh rais afanyaje kwa mfano?
Unasema eti hamna Uhuru wa kujieleza mie sijaelewa ulitaka wapewe Uhuru was kutukana watu?wanasiasa wa vyama vya upinzani kuandamanisha watu kila kikicha?
Swali ni je kwa sababu maovu ya awamu zilizopita yaliwekwa bayana,na unajua utaratibu wa CCM rais aliyeko madarakani anaongoza kwa miaka kumi ,ni watu waliyohudumu awamu hizo ndiyo waliyokutuma kwamba umuondoe JPM iliwasiendeelee kuabishwa kwa kutokufanya vizuri katika uongozi wao? Na je ni wafanyabiashara wasiyolipa kodi na kuhujumu uchumi wamekutuma? Ni wenye vyeti feti na watumishi hewa wamekutuma? Ni nchi za mbali wamekutuma?kinachokufanya usisubiri hadi 2025 ni nini?umetabiriwa na mizimu kwamba lazima uwe rais before 2025?