Mheshimiwa_Mtemi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 288
- 215
Amejituma huyoooo
Kwa ushahidi up Mkuu. Bm ndo anahaha JP anafanya yake.Huu ni mwanzo tu wa pambano kati ya ccm mpya na ccm ya zamani. Jiulize ni kwanini Membe anajiamini mno kuliko hata aliyeko Madarakani yaani Magu??
Na pia jiulize kwanini hivi sasa ccm inahaha kupita miaka yote?? Kwanini ccm imewatuma Wazee kwenda kumuomba Membe asichukue form kupitia chama chochote cha siasa eti asubiri hadi 2025??
Bongo zenu ndogo tu kuchekecha mambo. Kama kweli unasema Lowassa alitumwa kugawa upinzani basi unatakiwa kuonewa huruma na hujui dunia inakoelekea. Lowassa alikamia hasa kupata urais na alihama baada ya kukataliwa CCM na kuja upinzania alikuja akidhamiria hasa. Na hata CCM amerudi kwa sababu tu ya afya yake la sivyo sasa hivi bado angekuwa ndiye mgombea tena wa Upinzani na pengine wangeungana na Membe.Yule mzee ameandaliwa na CCM akafanye kitu inaitwa divide and rule kwa wapinzani kama alivyofanya lowasa, mark my words
Mfumo. Ni wakawaida wakiwa nje ya mfumo, wakiwa ndani si wa kawaida. Kama ww ni shabiki wa mpira unaelewa tofauti ya timu nzuri isiyo na mastaa na timu yenye mastaa.Kwanini mnadhani ni serikali tu pekee yake ndio inajua "michezo"?
Mnaipa serikali na walio madarakani uwezo wa "kimungu"!
Watu walioko serikalini ni watu wenye IQ ndogo sana...sio kiivyo kama mnavyotaka kutuaminisha!
Maana tumesoma nao mashuleni,ni watu wajinga mno....they are not that capable bwana!
Ametumwa na wezi na wasanii wenzake maana kwa mwendo huu watakufa maana hakuna pa kuiba kwa Sasa! Hawawezi kusubiri maana Kama Xi Jinping wetu tunaye, matumaini ya kurudi ulingo I kutuibia hivi karibuni yamepukutika! Na sisi tunajiandaa kumlazimisha aongeze 10 mwingine...matumbo yanawavuluga, lazima wafanye vurugu!Kila awamu ilifanya mema na mabaya. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa katika awamu yake yako mema amefanya na yako mabaya amefanya pia. Akashauri kuwa unachukua mema unayandeleza mabaya unayaacha.
Sisi wananchi tumeshuhudia mema na mabaya ya kifanywa na awamu zote. Lakini ziko awamu zilibugi kupita kawaida. Na moja ya awamu ilibugi sana ni awamu aliyohudumu mh Membe akiwa waziri. Rushwa, ufisadi, Wanainchi kunyanyaswa wakienda ifisi ifisi za umma ilikuwa kawaida sana kiasi cha CCH kuitwa chukua chako mapema.ukisema wewe ni CCM ulionekana jambazi Fulani.
Yapo mengi yalikuwa yanatia hasira kiasi cha kwamba mpaka nchi majirani walituona sisi watanzania kama hamnazo kabisa kusema kuwa ni nchi maskini. Mfano ni rais wa Rwanda alithiriki kusema kuwa akipewa bandari ya Dar es salaam anaweza kuilisha Tanzania kama sio Afrika nzima.
Katika hoja za Mh Membe ni kwamba eti katika awamu zote NNE rais mpya anaheshimu watu aliyowakuta na anaongezea wa kwake kidogo. Kilichomuudhi eti kwa nini anasema kulikuwa na watu wa hovyo na mambo ya hovyo na nchi ilifanywa kuwa shamba la bibi.
Swali ni je anayoyasema Mh rais ni uongo? Makinikia yalibwebwa,twiga walibwebwa,bandarini mita feki,IPTL capacity charges za hovyo, Richmond,watu kutolipa kodi,vyeti feki,wafanyakazi hewa, miradi mingi kubinafsishwa hovyo nk. Sasa kama kulikuwa na mambo ya namna hii na yanafanywa na watu waliyoko serikalini na watu wa awamu zilizopita ulitaka mh rais afanyaje kwa mfano?
Unasema eti hamna Uhuru wa kujieleza mie sijaelewa ulitaka wapewe Uhuru was kutukana watu?wanasiasa wa vyama vya upinzani kuandamanisha watu kila kikicha?
Swali ni je kwa sababu maovu ya awamu zilizopita yaliwekwa bayana,na unajua utaratibu wa CCM rais aliyeko madarakani anaongoza kwa miaka kumi ,ni watu waliyohudumu awamu hizo ndiyo waliyokutuma kwamba umuondoe JPM iliwasiendeelee kuabishwa kwa kutokufanya vizuri katika uongozi wao? Na je ni wafanyabiashara wasiyolipa kodi na kuhujumu uchumi wamekutuma? Ni wenye vyeti feti na watumishi hewa wamekutuma? Ni nchi za mbali wamekutuma?kinachokufanya usisubiri hadi 2025 ni nini?umetabiriwa na mizimu kwamba lazima uwe rais before 2025?
Kila awamu ilifanya mema na mabaya. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa katika awamu yake yako mema amefanya na yako mabaya amefanya pia. Akashauri kuwa unachukua mema unayandeleza mabaya unayaacha.
Sisi wananchi tumeshuhudia mema na mabaya ya kifanywa na awamu zote. Lakini ziko awamu zilibugi kupita kawaida. Na moja ya awamu ilibugi sana ni awamu aliyohudumu mh Membe akiwa waziri. Rushwa, ufisadi, Wanainchi kunyanyaswa wakienda ifisi ifisi za umma ilikuwa kawaida sana kiasi cha CCH kuitwa chukua chako mapema.ukisema wewe ni CCM ulionekana jambazi Fulani.
Yapo mengi yalikuwa yanatia hasira kiasi cha kwamba mpaka nchi majirani walituona sisi watanzania kama hamnazo kabisa kusema kuwa ni nchi maskini. Mfano ni rais wa Rwanda alithiriki kusema kuwa akipewa bandari ya Dar es salaam anaweza kuilisha Tanzania kama sio Afrika nzima.
Katika hoja za Mh Membe ni kwamba eti katika awamu zote NNE rais mpya anaheshimu watu aliyowakuta na anaongezea wa kwake kidogo. Kilichomuudhi eti kwa nini anasema kulikuwa na watu wa hovyo na mambo ya hovyo na nchi ilifanywa kuwa shamba la bibi.
Swali ni je anayoyasema Mh rais ni uongo? Makinikia yalibwebwa,twiga walibwebwa,bandarini mita feki,IPTL capacity charges za hovyo, Richmond,watu kutolipa kodi,vyeti feki,wafanyakazi hewa, miradi mingi kubinafsishwa hovyo nk. Sasa kama kulikuwa na mambo ya namna hii na yanafanywa na watu waliyoko serikalini na watu wa awamu zilizopita ulitaka mh rais afanyaje kwa mfano?
Unasema eti hamna Uhuru wa kujieleza mie sijaelewa ulitaka wapewe Uhuru was kutukana watu?wanasiasa wa vyama vya upinzani kuandamanisha watu kila kikicha?
Swali ni je kwa sababu maovu ya awamu zilizopita yaliwekwa bayana,na unajua utaratibu wa CCM rais aliyeko madarakani anaongoza kwa miaka kumi ,ni watu waliyohudumu awamu hizo ndiyo waliyokutuma kwamba umuondoe JPM iliwasiendeelee kuabishwa kwa kutokufanya vizuri katika uongozi wao? Na je ni wafanyabiashara wasiyolipa kodi na kuhujumu uchumi wamekutuma? Ni wenye vyeti feti na watumishi hewa wamekutuma? Ni nchi za mbali wamekutuma?kinachokufanya usisubiri hadi 2025 ni nini?umetabiriwa na mizimu kwamba lazima uwe rais before 2025?
Huenda ndio mwanzo waa mchezo
Membe, Ccm wote lao moja tu wanajuwa wanachokifanya ndio maana namshangaa sana Zitto kutaka kuingia kwenye mtego yaani TISS tena iliyochini ya ccm aje upinzani kwa usalama? siwezi kumuamini mpaka naenda kaburini!
Zitto na Chama chake watakuwa ni wajinga na wachumia tumbo kama wanaweza kumpa nafasi yoyote Membe ya juu.Membe, Ccm wote lao moja tu wanajuwa wanachokifanya ndio maana namshangaa sana Zitto kutaka kuingia kwenye mtego yaani TISS tena iliyochini ya ccm aje upinzani kwa usalama? siwezi kumuamini mpaka naenda kaburini!