G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Naona leo kulikuwa na kinachoitwa sherehe ya uzinduzi wa njia ya mchepuko wa maji huko Bwawa la Nyerere na aliyekuwa Waziri wa Nishati, Dkt. Kalemani alikuwa miongoni mwa wadau waliobonyeza kitufe wakiwa na waziri mkuu.
Alaa kumbe awamu hii ni mtu unapigiwa simu tuu na kupewa majukumu ya uwaziri na unakula tu per diem then kesho unaganga kwingine!
Au ameshakula uteuzi kimya kimya?
Alaa kumbe awamu hii ni mtu unapigiwa simu tuu na kupewa majukumu ya uwaziri na unakula tu per diem then kesho unaganga kwingine!
Au ameshakula uteuzi kimya kimya?