amakyasya JF-Expert Member Jun 26, 2013 3,480 907 Dec 12, 2014 #1 Hivi Mcharo wa airtel mkopo anaweza kuwa mtamu zaidi ya hii kitu japo sijui mcharo ni samaki au senene?
Hivi Mcharo wa airtel mkopo anaweza kuwa mtamu zaidi ya hii kitu japo sijui mcharo ni samaki au senene?
kyalankota JF-Expert Member Jul 27, 2014 2,560 1,399 Dec 12, 2014 #2 Kitimoto ndo habari ya mujini papaa!
CK Allan JF-Expert Member Aug 14, 2013 2,729 5,923 Dec 12, 2014 #3 cc. FaizaFoxy Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
amakyasya JF-Expert Member Jun 26, 2013 3,480 907 Dec 12, 2014 Thread starter #4 allan clement said: cc. FaizaFoxy Click to expand... Mate yatamtoka, full maudenda kwa kutamani utamu wa hiyo kitu. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
allan clement said: cc. FaizaFoxy Click to expand... Mate yatamtoka, full maudenda kwa kutamani utamu wa hiyo kitu.
Kyenju JF-Expert Member Jun 16, 2012 4,621 1,706 Dec 12, 2014 #5 allan clement said: cc. FaizaFoxy Click to expand... Huu uchokozi sasa. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
amakyasya JF-Expert Member Jun 26, 2013 3,480 907 Dec 12, 2014 Thread starter #6 Kyenju said: Huu uchokozi sasa. Click to expand... Uchokozi kivipi mkuu?
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,643 68,578 Dec 12, 2014 #7 Ebwana eheee Mcharo kawa mtamu kwa mkopo wa jero wa airtel.
amakyasya JF-Expert Member Jun 26, 2013 3,480 907 Dec 12, 2014 Thread starter #8 King Kong III said: Ebwana eheee Mcharo kawa mtamu kwa mkopo wa jero wa airtel. Click to expand... Teh teh teh!
King Kong III said: Ebwana eheee Mcharo kawa mtamu kwa mkopo wa jero wa airtel. Click to expand... Teh teh teh!
M Michewen JF-Expert Member Jun 27, 2012 24,538 32,151 Jan 26, 2015 #9 daah umesema kitimoto nkapata hamu ya kwenda kukila
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,142 13,216 Jan 26, 2015 #12 Polisi jamii said: Ha Ha Ha Mambo Ya Mbeya Hayo Click to expand... Mbeya inaweka na mbogamboga
kunguni wa ulaya JF-Expert Member Mar 16, 2014 4,132 6,100 Jan 26, 2015 #13 amakyasya said: Uchokozi kivipi mkuu? Click to expand... Kama unakula nguruwe ni wewe. Kwa wengine ni najisi kama bible inavyotueleza
amakyasya said: Uchokozi kivipi mkuu? Click to expand... Kama unakula nguruwe ni wewe. Kwa wengine ni najisi kama bible inavyotueleza
kunguni wa ulaya JF-Expert Member Mar 16, 2014 4,132 6,100 Jan 26, 2015 #14 joshua_ok said: daah umesema kitimoto nkapata hamu ya kwenda kukila Click to expand... Anaitwa nguruwe huyooo
joshua_ok said: daah umesema kitimoto nkapata hamu ya kwenda kukila Click to expand... Anaitwa nguruwe huyooo
Marire JF-Expert Member May 1, 2012 12,326 5,266 Jan 26, 2015 #16 Bado unadaiwa Tsh 632.98 katika mkopo wako wa TIMIZA. Rejesha kiasi hicho haraka kuepuka taarifa zako binafsi kupelekwa kwenye taasisi za kisheria
Bado unadaiwa Tsh 632.98 katika mkopo wako wa TIMIZA. Rejesha kiasi hicho haraka kuepuka taarifa zako binafsi kupelekwa kwenye taasisi za kisheria
Usedcountrynewpipo JF-Expert Member Aug 1, 2012 3,638 2,720 Mar 26, 2015 #17 Aaaaaaaaaah! Hii sasa sifaaaaaa!
Idd Ninga JF-Expert Member Nov 18, 2012 5,136 4,298 Mar 26, 2015 #18 aise masawe ni vipi chali yangu,eti yule mangi wa kibosho amekutumia ile kiti moto a.k.a KITU KITAAAAAMU maana nilimuagiza akuletee aise meku
aise masawe ni vipi chali yangu,eti yule mangi wa kibosho amekutumia ile kiti moto a.k.a KITU KITAAAAAMU maana nilimuagiza akuletee aise meku
kashesho JF-Expert Member Oct 19, 2012 4,976 2,465 Mar 26, 2015 #19 Gwangambo said: Karibu sana FFView attachment 221617View attachment 221618 Click to expand... ha ha mmh! asante nimeshiba:A S confused:
Gwangambo said: Karibu sana FFView attachment 221617View attachment 221618 Click to expand... ha ha mmh! asante nimeshiba:A S confused:
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,142 13,216 Mar 26, 2015 #20 aaaaaaaaaaaaaghhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh