Huyu mbunge simsikii kabisa hususan kipindi hiki ambapo makamanda wetu walikuwa katika ukombozi wa Arumeru East kutoka katika mikono dhalimu ya mafisadi, na katika chaguzi za kadhaa udiwani. Mwenye taarifa tunaomba atujuze.
huyu mbunge simsikii kabisa hususan kipindi hiki ambapo makamanda wetu walikuwa katika ukombozi wa arumeru east kutoka katika mikono dhalimu ya mafisadi, na katika chaguzi za kadhaa udiwani. Mwenye taarifa tunaomba atujuze.