johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,761
- 141,627
Wale wahenga mnakumbuka namna Zamoyoni Mogela alivyokuwa anapaniwa na walinzi wa Yanga pindi timu ya Yanga ikutanapo na Simba miaka ile ya 80.
Nakumbuka picha moja ikimuonyesha Mogella akiwa amezungukwa na walinzi " wote" wa Yanga yaani Yusuph Bana, Ahmed Amasha, Rashid Chama, Isihaka Hassan na mkongwe Juma Mkambi ili asilete madhara kwa kipa wao Hamis Kinye.
Wiki Mbowe yuko ziarani huko Moshi katika jimbo la Hai lakini ni kama vile shughuli zote zimesimama ili asilete madhara.
Je, unajua Yanga walifanyaje ili kuondokana na tishio la Zamoyoni Mogella?.......Walimsajili.
Niishie hapo, CCM nadhani mmenielewa.
Maendeleo hayana vyama!
Nakumbuka picha moja ikimuonyesha Mogella akiwa amezungukwa na walinzi " wote" wa Yanga yaani Yusuph Bana, Ahmed Amasha, Rashid Chama, Isihaka Hassan na mkongwe Juma Mkambi ili asilete madhara kwa kipa wao Hamis Kinye.
Wiki Mbowe yuko ziarani huko Moshi katika jimbo la Hai lakini ni kama vile shughuli zote zimesimama ili asilete madhara.
Je, unajua Yanga walifanyaje ili kuondokana na tishio la Zamoyoni Mogella?.......Walimsajili.
Niishie hapo, CCM nadhani mmenielewa.
Maendeleo hayana vyama!