Je, Mbowe kukitelekeza chama baada ya uchaguzi mkuu?

digba sowey

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
7,894
14,353
Wakuu habari zenu,natumai hamjambo.

Naomba niende kwenye maada yangu,nidhahili kuwa mwenyekiti wa chadema maji kwa sasa yako shingoni na kuna namna anajutia kwanini aligombea uenyekiti wa CHADEMA kwa awamu nyingine, Maana kwa mapigo anayoyapata ya kukimbiwa na wanachama kila uchwao ni lazima aweweseke,imefikia kipindi anageuka kuwa mpiga ramli, pale anapodai kuwa kuna wanachama wengi watamfuata aliyekuwa katibu mkuu wake Dr.Mashinji.

Eti hawezi kuwafukuza ila wataondoka wenyewe, kama ameshaona kuna viashiria hivyo na anawajua wale wote wanaotaka kuunga juhudi za serikali ya awamu ya tank,kwanini asikae nao na kywauliza kwanini wakikimbie chama? Badala yake anakuja na porojo za kujidai ni mtabiri ,poor Aikael Mbowe.

Nidhahiri kuwa baada ya uchaguzi wa Oct.2020 ,chadema itakosa uwakilishi katika nyanja zote za udiwani na ubunge maana kila uchwao lazima tusikie kilio cha kukumbiwa na wanachama,na dalili zi wazi kuwa mwenyekiti wa CDM lazima atakitelekeza chama baada ya kukosa ruzuku.ili kuepuka aibu hii ni bora akaunga juhudi za serikali ya awamu ya tano mapema kama wanavyo Fanya wafuasi wake.

Ni hayo tu, mjumbe hauawi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe ni wakuogopwa kama ugonjwa wa ukoma ,hafai hata kidogo,subiri madongo atakayopewa na haohao wanaondoka kwa kukataa udhalimu wake,wanasubilia kipyenga tu,ataomba ardhi ipasuke azame na kupotelea mbali
 
WEKENI TUME HURU YA UCHAGUZI THEN MSI TEGEMEE POLICE CCM, WAKURUGENZI, WAKUU WA MIKOA/WILAYA PLUS VIONGOZI WA SEREKALI
 
Mbowe aliingia ndani ya Chadema ikiwa haina ruzuku sasa kukimbia ikiwa haina ruzuku ndo leo akimbie kisa amna euzuku?

Kama katibu mkuu anaeongoza chama kwa shughuli za kila siku za chama akimbie alafu anapokelewa kwingine ndo mnashindwa kujiuliza inakuaje akashindwa huko alikotoka.
Yaani katibu mkuu anajiuzulu kisa waziri anashindwa majukumu.
 
Wakuu habari zenu,natumai hamjambo.

Naomba niende kwenye maada yangu,nidhahili kuwa mwenyekiti wa chadema maji kwa sasa yako shingoni na kuna namna anajutia kwanini aligombea uenyekiti wa CDM kwa awamu nyingine,Maana kwa mapigo anayoyapata ya kukimbiwa na wanachama kila uchwao ni lazima aweweseke,imefikia kipindi anageuka kuwa mpiga ramli, pale anapodai kuwa kuna wanachama wengi watamfuata aliyekuwa katibu mkuu wake Dr.Mashinji.eti hawezi kuwafukuza ila wataondoka wenyewe,kama ameshaona kuna viashiria hivyo na anawajua wale wote wanaotaka kuunga juhudi za serikali ya awamu ya tank,kwanini asikae nao na kywauliza kwanini wakikimbie chama? Badala yake anakuja na porojo za kujidai ni mtabiri ,poor Aikael Mbowe.

Nidhahiri kuwa baada ya uchaguzi wa Oct.2020 ,chadema itakosa uwakilishi katika nyanja zote za udiwani na ubunge maana kila uchwao lazima tusikie kilio cha kukumbiwa na wanachama,na dalili zi wazi kuwa mwenyekiti wa CDM lazima atakitelekeza chama baada ya kukosa ruzuku.ili kuepuka aibu hii ni bora akaunga juhudi za serikali ya awamu ya tano mapema kama wanavyo Fanya wafuasi wake.

Ni hayo tu,mjumbe hauawi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanachama gani wamemkimbia? Mawazo ya kijinga!
 
Mbowe ni wakuogopwa kama ugonjwa wa ukoma ,hafai hata kidogo,subiri madongo atakayopewa na haohao wanaondoka kwa kukataa udhalimu wake,wanasubilia kipyenga tu,ataomba ardhi ipasuke azame na kupotelea mbali
Na wewe unajiona umeandika kitu cha maana! Hovyooo...
 
Hao waliokimbia kwani ndio wapiga kura?mbona mnachanganyikiwa kiurahisi hivyo
 
Back
Top Bottom