Wana JF naomba kuuliza. Hii miwaziri magamba iliyofuja fedha za wananchi na wanatakiwa waondoke kisheria wanaweza kufunguliwa mashtaka kwa uhujumu uchumi? Kama ni hivyo. Aomba tujipanga ili wote waende Keko pamoja na kurudisha hizo mali wa kwanza Ngeleja na Maige.
Asanteni .
Asanteni .