Wewe bwege tu. Jeshini hakuna siasa.Siri gani upumbavu ?!. Siri zipo za kulindwa si ubambikaji
Wewe bwege tu. Jeshini hakuna siasa.Siri gani upumbavu ?!. Siri zipo za kulindwa si ubambikaji
Bado unarudi kulekule,usifikilie ugaidi ni siasa au singeli.Special Forces training is designed to test you physically, mentally and emotionally to build your mental strength. Personally, when it comes to mental strength, I believe you need to increase your body’s ability to withstand pain and getting comfortable being uncomfortable.
sasa walipata mafunzo wakayatumie wapi? Hayo yanayosemekana ni mateso ya polisi ndiyo mazingira muafaka kwa kukabili kutokana na mafunzo yao.
Sasa Mbowe alikuwa anawatafuta wa nini kama ni walaini kiasi hicho. LAZIMA KULIKUWA NA KITU NA KITU HICHO SI KINGINE ISIPOKUWA NJAMA ZA UGAIDI
Mafunzo ya ukomandoo ni magumu Sana,lakini Ni matamu Sana,Adamoo na wenzake ni makomandoo waliohitimu. Kwa taarifa zilizopo mafunzo ya ukomandoo siyo mchezo.
Ilikuwaje wakanyong'onyezwa na mateso ya polisi yakiwemo kunyimwa chakula, kufungwa kitambaa machoni na kutishwa na bastola iliyoko kiunoni mwa polisi mpaka wakasema wasiyopaswa kusema.
Kama polisi wanawagwaya askari jeshi wa kawaida hawa makomandoo kulikoni?
Kwa nyumbuzi sawa kabisa unachosema na kumsifia huyo Gaidi Mbowe lakini kwa wale wanaojitambua anatakiwa kuwa messenger tu!!Bado unarudi kulekule,usifikilie ugaidi ni siasa au singeli.
Mnapenda xana ugaidi Eti.
Kaulizie jirani yako Kenya, Westgate.
Kuna hata kiongozi wa siasa wa upinzani aliyehusishwa.
Je tz mnasiasa ngumu kama wao ?.
Acheni ushamba, vyombo vya dora havijielewi.
Kama nawe unaamini Mbowe ni Gaidi,basi bado neno langu KIAZI lipo palepale. Siasa majitaka.
Aibu sana, tena sana.
Mbowe Uwezo alionao kisiasa. Robo tatu y'a awamu 4 zilizopita
Sawa Mr Gudluck. Ila kumbuka kila lenye mwanzo lina mwisho. Usijifanye mjanja kwa uhuni wako, jua watalipia watoto wako au wajukuu zako mbuzi wewe.Sidhani kama uko sahihi sana nadhani your myopic
In evaluating whether or not a confession was made voluntarily, federal courts consider the “totality of the circumstances” surrounding the interrogation, including the age, intelligence and education level of the accused; the length of the detention and interrogation; and the use of physical punishments such as the deprivation of food or sleep. Federal courts have repeatedly excluded statements made following the use of various interrogation methods:
• solitary confinement or isolation,
• sleep deprivation,
• threats of death and physical harm• beatings, and
• nudity.
Notably, some statements procured through the use of these very same techniques may be admissible under the MCA
Hee- hii kaliMbowe aliwazidi akili Ccm na magufuri wake.
Genge lililokuwa limejichimbia zaidi y'a mihimili yote,hatimaye kiongozi wake wakamchimbua.
Mbowe ni genous.
kama polisi wana akili, wanaweza kupambana n'a ugaidi,wawaeleze watz Azor, Béni, pamoja na tukio la Lisu.
Polisi ni Mbwa KOKO.
👞 Kazi kulamba viatu vya mabwana zao, badala wasimamie wajibu wao kikatiba.Hee- hii kali
Hayo sio mateso,Kuna mateso walifanyiwa huwezi kuyaandika hapa,Adamoo na wenzake ni makomandoo waliohitimu. Kwa taarifa zilizopo mafunzo ya ukomandoo siyo mchezo.
Ilikuwaje wakanyong'onyezwa na mateso ya polisi yakiwemo kunyimwa chakula, kufungwa kitambaa machoni na kutishwa na bastola iliyoko kiunoni mwa polisi mpaka wakasema wasiyopaswa kusema.
Kama polisi wanawagwaya askari jeshi wa kawaida hawa makomandoo kulikoni?
Mbona akina Rambo walikuwa wanafaulu pamoja na mateso makali. Au wewe huangaliagi movie za kikomandoo za Sylvester Rambo. Any way ni utani tu.Huna akili nzuri. Haya mambo ni kuwahiana . Mateso yenye nia ovu ya pt hayawezi kulinganishwa na mafunzo ya jw.
Unamchukuwa mtu unamfunga kwanza , ndiyo unamuanzishia mateso !!. Halafu useme ametepeta ?!
Bisibisi na nyundo?.Mkuu; Tena watesaji ni zaidi ya mmoja (3-4 )na bado watesaji ni waoga kwamba wasijekujulikana, hivyo wanavaa vinyago ili wasijulikane kwa scene moja wakati mteswaji ni mmoja amedhibitiwa kisawasawa (restrained) kwa pingu, kamba na kufungwa kitambaa machoni. Watesaji wanatumia vifaa na sio miili (Viungo) yao. eg. Bisibisi, nyundo, maji baridi,rungu, umeme etc na ni katika chumba maalum. Hao makomandoo walimudu hayo mateso/walidhihirisha ushupavu wa kuvumilia mateso. Hatujui mm na ww baadaye wata-react vp au kutoa majibu gani kwa watesi wao. Time will tell.