Je, mateso ya Polisi yanaweza kuwa makubwa (excessive) kuliko mafunzo ya Makomando wa Jeshi letu?

Special Forces training is designed to test you physically, mentally and emotionally to build your mental strength. Personally, when it comes to mental strength, I believe you need to increase your body’s ability to withstand pain and getting comfortable being uncomfortable.

sasa walipata mafunzo wakayatumie wapi? Hayo yanayosemekana ni mateso ya polisi ndiyo mazingira muafaka kwa kukabili kutokana na mafunzo yao.
Sasa Mbowe alikuwa anawatafuta wa nini kama ni walaini kiasi hicho. LAZIMA KULIKUWA NA KITU NA KITU HICHO SI KINGINE ISIPOKUWA NJAMA ZA UGAIDI
Bado unarudi kulekule,usifikilie ugaidi ni siasa au singeli.
Mnapenda xana ugaidi Eti.
Kaulizie jirani yako Kenya, Westgate.

Kuna hata kiongozi wa siasa wa upinzani aliyehusishwa.
Je tz mnasiasa ngumu kama wao ?.
Acheni ushamba, vyombo vya dora havijielewi.

Kama nawe unaamini Mbowe ni Gaidi,basi bado neno langu KIAZI lipo palepale. Siasa majitaka.

Aibu sana, tena sana.

Mbowe Uwezo alionao kisiasa. Robo tatu y'a awamu 4 zilizopita
 
Adamoo na wenzake ni makomandoo waliohitimu. Kwa taarifa zilizopo mafunzo ya ukomandoo siyo mchezo.

Ilikuwaje wakanyong'onyezwa na mateso ya polisi yakiwemo kunyimwa chakula, kufungwa kitambaa machoni na kutishwa na bastola iliyoko kiunoni mwa polisi mpaka wakasema wasiyopaswa kusema.

Kama polisi wanawagwaya askari jeshi wa kawaida hawa makomandoo kulikoni?
Mafunzo ya ukomandoo ni magumu Sana,lakini Ni matamu Sana,
Na hao makomando hawana walichotaja chochote,hila ni ukweli kuwa walipewa dili ya VIP PROTECTION, hayo mengine waliyajaza hao waliowakamata nadhani (police,

Wale pia Ni binadamu si kwamba hawasikii maumivu
 
Bado unarudi kulekule,usifikilie ugaidi ni siasa au singeli.
Mnapenda xana ugaidi Eti.
Kaulizie jirani yako Kenya, Westgate.

Kuna hata kiongozi wa siasa wa upinzani aliyehusishwa.
Je tz mnasiasa ngumu kama wao ?.
Acheni ushamba, vyombo vya dora havijielewi.

Kama nawe unaamini Mbowe ni Gaidi,basi bado neno langu KIAZI lipo palepale. Siasa majitaka.

Aibu sana, tena sana.

Mbowe Uwezo alionao kisiasa. Robo tatu y'a awamu 4 zilizopita
Kwa nyumbuzi sawa kabisa unachosema na kumsifia huyo Gaidi Mbowe lakini kwa wale wanaojitambua anatakiwa kuwa messenger tu!!
 
Unaweza ukaamua uamini kuwa ukomandoo si lolote mbele ya polisi

AU

Uamimi kuwa ukomandoo ni ujuzi maalum ktk medani za kivita ambao upo kwa askari baadhi tu ndani ya jeshi.

Watu walishafukuzwa kikosini na jeshini bado mnahangaika kuwatambua kuwa makomandoo wa jwtz?

Hakuna mbabe mbele ya mamlaka kikubwa busara itumike.

Komandoo akiamua atumie ujuzi na mbinu alizonazo kujitetea kunaweza kuwa na athari kubwa sana.

Thank that they're not reacting accordingly!
 
Mtoa hoja nadhan hamnazo,kwa Mateso waliyosimulia kwa mtu wa kawaida hawez kivumilia kirahisi hivyo,mtu amekaa Karib siku nne mpaka tano bila kula hebu jarib wewe siku moja tu kaw bila kula uone moto wake mpaka utaomba poa,Sasa wenzio wamekaa siku tano bila kula Sasa huyo n mtu wa kawaida?
 
Moja ya mafunzo ni uvumilivu na walifaulu vizuri hicho kipengele kwani wasingelikuwa wamefaulu wale kolokoloni wangetengenezwa malinda yale wakicheka tu wanahala!!
 
Just imagine wameshika kende zako! Hapo lazima utoe siri zote
 
Sidhani kama uko sahihi sana nadhani your myopic
In evaluating whether or not a confession was made voluntarily, federal courts consider the “totality of the circumstances” surrounding the interrogation, including the age, intelligence and education level of the accused; the length of the detention and interrogation; and the use of physical punishments such as the deprivation of food or sleep. Federal courts have repeatedly excluded statements made following the use of various interrogation methods:
• solitary confinement or isolation,
• sleep deprivation,
• threats of death and physical harm• beatings, and
• nudity.
Notably, some statements procured through the use of these very same techniques may be admissible under the MCA
Sawa Mr Gudluck. Ila kumbuka kila lenye mwanzo lina mwisho. Usijifanye mjanja kwa uhuni wako, jua watalipia watoto wako au wajukuu zako mbuzi wewe.
 
Kuna mazoez na mateso (physical exircise and torture

Hata huyo mwanajesh komandoo au usalama akibananshwa na raia anateswa vizur tuuu kwasababu mateso huwez kwend kinyuma nyume zaid kulko mazoez

NB ata mapokez ya kiakili upo unafany zoez hilo hilo ukiambiw hii ni adhabu shughul hyo

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Mbowe aliwazidi akili Ccm na magufuri wake.

Genge lililokuwa limejichimbia zaidi y'a mihimili yote,hatimaye kiongozi wake wakamchimbua.

Mbowe ni genous.
kama polisi wana akili, wanaweza kupambana n'a ugaidi,wawaeleze watz Azor, Béni, pamoja na tukio la Lisu.
Polisi ni Mbwa KOKO.
 
Mbowe aliwazidi akili Ccm na magufuri wake.

Genge lililokuwa limejichimbia zaidi y'a mihimili yote,hatimaye kiongozi wake wakamchimbua.

Mbowe ni genous.
kama polisi wana akili, wanaweza kupambana n'a ugaidi,wawaeleze watz Azor, Béni, pamoja na tukio la Lisu.
Polisi ni Mbwa KOKO.
Hee- hii kali
 
Adamoo na wenzake ni makomandoo waliohitimu. Kwa taarifa zilizopo mafunzo ya ukomandoo siyo mchezo.

Ilikuwaje wakanyong'onyezwa na mateso ya polisi yakiwemo kunyimwa chakula, kufungwa kitambaa machoni na kutishwa na bastola iliyoko kiunoni mwa polisi mpaka wakasema wasiyopaswa kusema.

Kama polisi wanawagwaya askari jeshi wa kawaida hawa makomandoo kulikoni?
Hayo sio mateso,Kuna mateso walifanyiwa huwezi kuyaandika hapa,
Chukua chupa ya soda harafu jitwange nayo kwenye magoti!tuanze na Hilo,
Chuchumaa harafu nyanyuka kidogo,Kaa hivyo kwa saa 48!kwenye chumba chenye Mwanga mkali na mziki wa sauti kubwa!!
Fikilia umevuliwa nguo upo uchi. Kabisa!!
Unefungwa mikono na miguu,umeinamishwa,Saba,harafu vidume vinatishia leo lazima wakubake kwenye kijambio!!
Hapo kisaikolojia utakuwaje?!!
Hata uwe komandoo,mbele ya mateso,utalainika tu,ni kwamba kwa komandoo kumlainisha itachukua muda mrefu kuliko raia.
 
Huna akili nzuri. Haya mambo ni kuwahiana . Mateso yenye nia ovu ya pt hayawezi kulinganishwa na mafunzo ya jw.

Unamchukuwa mtu unamfunga kwanza , ndiyo unamuanzishia mateso !!. Halafu useme ametepeta ?!
Mbona akina Rambo walikuwa wanafaulu pamoja na mateso makali. Au wewe huangaliagi movie za kikomandoo za Sylvester Rambo. Any way ni utani tu.
 
Mbona akina Rambo walikuwa wanafaulu pamoja na mateso makali. Au wewe huangaliagi movie za kikomandoo za Sylvester Rambo
Mdogo huyu amekua kakuta movie za Kanumba
 
Mkuu; Tena watesaji ni zaidi ya mmoja (3-4 )na bado watesaji ni waoga kwamba wasijekujulikana, hivyo wanavaa vinyago ili wasijulikane kwa scene moja wakati mteswaji ni mmoja amedhibitiwa kisawasawa (restrained) kwa pingu, kamba na kufungwa kitambaa machoni. Watesaji wanatumia vifaa na sio miili (Viungo) yao. eg. Bisibisi, nyundo, maji baridi,rungu, umeme etc na ni katika chumba maalum. Hao makomandoo walimudu hayo mateso/walidhihirisha ushupavu wa kuvumilia mateso. Hatujui mm na ww baadaye wata-react vp au kutoa majibu gani kwa watesi wao. Time will tell.
Bisibisi na nyundo?.
Imekuwa karakana ya uselemara
 
Wewe paka rekebisha kauli yako,hakuna polisi anayewagwaya askari jeshi.Watu mna uduni wa akili hebu waulize wanajeshi wenyewe watakwambia jinsi wanavyokamatwa na polisi huku kitaani au kama vipi kaa karibu na kituo kikubwa cha polisi uone maafande wa jeshi(manyota) wanavyokuja kituoni kuwatoa wanajeshi wenzao waliolala lock up za polisi.
 
Back
Top Bottom