Je, Mashinji atajiuzulu baada ya CHADEMA kufia mikononi mwake?

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,804
12,224
Tukiwa tumesalia na miaka 3 kabla ya Uchaguzi mkuu Nguvu ya Chadema imezidi kupotea siku hadi siku chama ambacho labda mwaka 2019 huenda ukwa ndo mwaka wa kuzika na Kumaliza Msiba huku tukitarajia mwaka 2020 yakawa majengeo ya Kaburi la Chadema.

Mtiririko wa Matukio Mengi Unasababisha CHADEMA Kuwa na hali Ngumu kisiasa huku Ikitarajiwa Kupoteza Majimbo Mengi hasa ya Mbeya, Arusha, Kawe na Singida Mashariki ambapo Professor Mkumbo huenda akawa ndiyo msaada Pekee kwa Wananchi wa Singida Mashariki waliolaghaiwa kwa vipindi Viwili.

Hali ya mbeya pia inafahamika ambapo Dr Tulia ameshaota mizizi na Wananchi wa Mbeya wanaona ndiye atakua Msaada kwa Maendeleo yao.

Kushindwa kwa matamko mbalimbali ya CHADEMA ifahamike Kutokana na Uoga Uliomjaa Dr. Mashinji alishindwa kuongoza hata Kufanikisha UKUTA, Kata Funua zote zilionesha uoga Na jamii imekosa imani.


Vitendo vya Kihuni ndani ya Bunge: Ni wazi Vitendo vya Matusi na Lugha ya Kuuzi na hata kujaribu Kuwapiga askari wa Bunge (Halima Mdee na Bulaya) vimeshamiri miongoni mwa Wabunge wa CHADEMA na hata baadhi ya Wanachama wanachukizwa na Vitendo hivyo vinavyokishushia heshima Chama

Makamanda Kujipange Upya tuweke viongozi madhubuti ili mwaka 2025 turudi katika Ushindani tena hakuna haja ya Kuingiza Timu 2020 tuirudishe TFF.
 
Usajili wa CHADEMA ni wa hovyo hovyo! Waropokaji wengi wa CHADEMA wana elimu ya kuunga unga. Sijui hata Mashinji na Lisu wanafanya nini huko. Hao wa kuunga unga ona sasa wamemuharibu na Lisu, msomi mzuri ameishia kuwa mpayukaji... Siku sio nyingi CCM tutamsajili Lisu, tutampeleka kozi ya utumishi wa uma kwa miezi mitatu na akirudi hapa Bongo, atakuwa 'kiumbe kipya'... Ataanza kuongea profeshenally na kutekeleza ilani ya CCM kwa moyo wote!
 
Mashinji hana saut chadema mbowe ndo anapaswa ajiuzuru

Mbowe kashindwa kabisa kwenda na beet la anco magu

Ajiuzulu atuachie chama chetu
 
Yote ni laana za kumuadama prof Lipumba,na kumfukuza zitto ruyigwa kabwe na dr.slaa
 
Usajili wa CHADEMA ni wa hovyo hovyo! Waropokaji wengi wa CHADEMA wana elimu ya kuunga unga. Sijui hata Mashinji na Lisu wanafanya nini huko. Hao wa kuunga unga ona sasa wamemuharibu na Lisu, msomi mzuri ameishia kuwa mpayukaji... Siku sio nyingi CCM tutamsajili Lisu, tutampeleka kozi ya utumishi wa uma kwa miezi mitatu na akirudi hapa Bongo, atakuwa 'kiumbe kipya'... Ataanza kuongea profeshenally na kutekeleza ilani ya CCM kwa moyo wote!
Ha! Ha! Umewazika kijana wanachungulia na kusepa.
 
Tukiwa tumesalia na miaka 3 kabla ya Uchaguzi mkuu Nguvu ya Chadema imezidi kupotea siku hadi siku chama ambacho labda mwaka 2019 huenda ukwa ndo mwaka wa kuzika na Kumaliza Msiba huku tukitarajia mwaka 2020 yakawa majengeo ya Kaburi la Chadema.

Mtiririko wa Matukio Mengi Unasababisha CHADEMA Kuwa na hali Ngumu kisiasa huku Ikitarajiwa Kupoteza Majimbo Mengi hasa ya Mbeya, Arusha, Kawe na Singida Mashariki ambapo Professor Mkumbo huenda akawa ndiyo msaada Pekee kwa Wananchi wa Singida Mashariki waliolaghaiwa kwa vipindi Viwili.

Hali ya mbeya pia inafahamika ambapo Dr Tulia ameshaota mizizi na Wananchi wa Mbeya wanaona ndiye atakua Msaada kwa Maendeleo yao.

Kushindwa kwa matamko mbalimbali ya CHADEMA ifahamike Kutokana na Uoga Uliomjaa Dr. Mashinji alishindwa kuongoza hata Kufanikisha UKUTA, Kata Funua zote zilionesha uoga Na jamii imekosa imani.


Vitendo vya Kihuni ndani ya Bunge: Ni wazi Vitendo vya Matusi na Lugha ya Kuuzi na hata kujaribu Kuwapiga askari wa Bunge (Halima Mdee na Bulaya) vimeshamiri miongoni mwa Wabunge wa CHADEMA na hata baadhi ya Wanachama wanachukizwa na Vitendo hivyo vinavyokishushia heshima Chama

Makamanda Kujipange Upya tuweke viongozi madhubuti ili mwaka 2025 turudi katika Ushindani tena hakuna haja ya Kuingiza Timu 2020 tuirudishe TFF.


Keep your legs crossed so you don't wet yourself with anticipation
 
Tukiwa tumesalia na miaka 3 kabla ya Uchaguzi mkuu Nguvu ya Chadema imezidi kupotea siku hadi siku chama ambacho labda mwaka 2019 huenda ukwa ndo mwaka wa kuzika na Kumaliza Msiba huku tukitarajia mwaka 2020 yakawa majengeo ya Kaburi la Chadema.

Mtiririko wa Matukio Mengi Unasababisha CHADEMA Kuwa na hali Ngumu kisiasa huku Ikitarajiwa Kupoteza Majimbo Mengi hasa ya Mbeya, Arusha, Kawe na Singida Mashariki ambapo Professor Mkumbo huenda akawa ndiyo msaada Pekee kwa Wananchi wa Singida Mashariki waliolaghaiwa kwa vipindi Viwili.

Hali ya mbeya pia inafahamika ambapo Dr Tulia ameshaota mizizi na Wananchi wa Mbeya wanaona ndiye atakua Msaada kwa Maendeleo yao.

Kushindwa kwa matamko mbalimbali ya CHADEMA ifahamike Kutokana na Uoga Uliomjaa Dr. Mashinji alishindwa kuongoza hata Kufanikisha UKUTA, Kata Funua zote zilionesha uoga Na jamii imekosa imani.


Vitendo vya Kihuni ndani ya Bunge: Ni wazi Vitendo vya Matusi na Lugha ya Kuuzi na hata kujaribu Kuwapiga askari wa Bunge (Halima Mdee na Bulaya) vimeshamiri miongoni mwa Wabunge wa CHADEMA na hata baadhi ya Wanachama wanachukizwa na Vitendo hivyo vinavyokishushia heshima Chama

Makamanda Kujipange Upya tuweke viongozi madhubuti ili mwaka 2025 turudi katika Ushindani tena hakuna haja ya Kuingiza Timu 2020 tuirudishe TFF.

Simu usipoitaja Chadema naona utakuja.Anyway Chadema haijafa na haitakufa.Kama unataka kujua Chadema iko hai na nguvu kuliko ufikiriavyo mwambie Mwenyekiti wako atangaze Uhuru wa kufanya mikutano halafu uone moto wake.

Haya mahafali mlipeleka askari utadhani mpo Kibiti.

Msiba wa Ndesamburo mmepeleka maderaya matano kisa ati Waziri anaenda.Uoga wa nini??
Kama Tulia amekutuma mwambie kwa Mbeya bado sana labda aende Kyela.

Pili hatuna utamaduni wa kuwaweka wanayakyusa kutawala Mbeya.Poleni sana.
 
Usajili wa CHADEMA ni wa hovyo hovyo! Waropokaji wengi wa CHADEMA wana elimu ya kuunga unga. Sijui hata Mashinji na Lisu wanafanya nini huko. Hao wa kuunga unga ona sasa wamemuharibu na Lisu, msomi mzuri ameishia kuwa mpayukaji... Siku sio nyingi CCM tutamsajili Lisu, tutampeleka kozi ya utumishi wa uma kwa miezi mitatu na akirudi hapa Bongo, atakuwa 'kiumbe kipya'... Ataanza kuongea profeshenally na kutekeleza ilani ya CCM kwa moyo wote!

Naona wale.akina Lusinde,Maji mafupi,Musukuma na Mtoto wa Celine ndiyo vichwa Bungeni.

Poleni sana.Hata kwa kiboko hakuna atakayekuja CCM, labda ACT Wazalendo.
 
Pole sana. Naona huenda weye ni huyo Kitila umeogopa kujitangaza kwa sababu kampeni bado muda wake. Lakini nachojua, hata hao wanasingida Magharibi unao wasema wana akili kidogo tu ya kuku hivyo hawawezi kumtupa mtetezi wao Lissu. Hao wanambeya, siku akikataa mwenyewe huyo rais wa mbeya mh. saana mtoto wa mujini, nadhani watachagua jiwe badala ya huyo Tulia.
Ningetamani saana ccm muelewe kuwa, kuwatimua bungeni wabunge wa upinzani, mnawapa kik. Waacheni wakae mle ndani wapige kura zao zinazoshindwa kila siku na Ndiooooooo. Siku zenu, zinahesabika tu.
Hamjaanza leo kukiombea kifo chama hiki, lakini woote waliokiombea dua mbaya, wamepigwa chini na visichana vidooogo saizi ya binti zao. Kweli ni aibu. Wster kumshinda yule Tyson. Acheni tu jamani, ni aibu hata kusema.
 
Simu usipoitaja Chadema naona utakuja.Anyway Chadema haijafa na haitakufa.Kama unataka kujua Chadema iko hai na nguvu kuliko ufikiriavyo mwambie Mwenyekiti wako atangaze Uhuru wa kufanya mikutano halafu uone moto wake.

Haya mahafali mlipeleka askari utadhani mpo Kibiti.

Msiba wa Ndesamburo mmepeleka maderaya matano kisa ati Waziri anaenda.Uoga wa nini??
Kama Tulia amekutuma mwambie kwa Mbeya bado sana labda aende Kyela.

Pili hatuna utamaduni wa kuwaweka wanayakyusa kutawala Mbeya.Poleni sana.
Vaa Nguo!
 
Chama kilichokufa ni kile kilichotuletea majanga kwenye madini, baada ya kusaini mikataba mibovu.
 
Back
Top Bottom