Apollo
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 4,920
- 3,220
Jamani wakuu, ningependa kujua ukweli wa hili swala...
Kiukweli, unapoenda kunyoa saluni.. Unakuta mashine za kunyolea zimeshawanyoa watu wengi, tuchukulie mfano imeshanyoa mtu mwenye virusi vya ukimwi, alafu mashine hiyohiyo ikatumika katika kukunyoa nywele na kukuchonga. Baada ya kunyolewa unapopakwa spirit unahisi maumivu katika maeneo hasa uliyochongwa, hii inaonyesha kuwa kuna vidonda vidogo vidogo katika maeneo hayo yanayouma baada ya kuweka spirit...
Je unaweza kupata virusi vya ukimwi kama mashine iliyotumika iliwahi kumnyoa mtu mwenye virusi vya ukimwi?
Tufanyaje ili kuepukana na maambukizi (kama yapo) katika masalooni?
NB! Maana mimi huwa nakataa kuchongwa au kunyolewa nywele zote, huwa napunguza tu nywele kwa vitana (hasa cha namba 1) vya mashine.
{jamani sijawa nyanyapaa waathirika}
Kiukweli, unapoenda kunyoa saluni.. Unakuta mashine za kunyolea zimeshawanyoa watu wengi, tuchukulie mfano imeshanyoa mtu mwenye virusi vya ukimwi, alafu mashine hiyohiyo ikatumika katika kukunyoa nywele na kukuchonga. Baada ya kunyolewa unapopakwa spirit unahisi maumivu katika maeneo hasa uliyochongwa, hii inaonyesha kuwa kuna vidonda vidogo vidogo katika maeneo hayo yanayouma baada ya kuweka spirit...
Je unaweza kupata virusi vya ukimwi kama mashine iliyotumika iliwahi kumnyoa mtu mwenye virusi vya ukimwi?
Tufanyaje ili kuepukana na maambukizi (kama yapo) katika masalooni?
NB! Maana mimi huwa nakataa kuchongwa au kunyolewa nywele zote, huwa napunguza tu nywele kwa vitana (hasa cha namba 1) vya mashine.
{jamani sijawa nyanyapaa waathirika}