Je, Mary Nagu na Celina Kombani ambao waliwahi kuwa mawaziri wa Katiba na Sheria walikuwa wanasheria kitaaluma?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,903
141,850
Nijuavyo mimi wizara ya katiba na sheria inaweza kuongozwa na mtu mwenye taaluma yoyote hata mzee Mgaya na degree yake ya " Sindimba" anatosha.

Sijajua kuhusu mama Mary Nagu ila Celina Kombani hakuwa mwanasheria lakini aliiongoza vixuri tu wizara ya sheria.
Hata Ummy Mwalimu ni mwanasheria nadhani lakini ndio waziri wa afya anayeongoza mapambano dhidi ya Corona.

Au pale wizara ya michezo kuna anayejua Mwakyembe na Shonza wanacheza michezo au ngoma gani?

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!
 
Unaweza kuwa sawa ila ili kuleta ufanisi ni vyema angalau awe na uelewa wa hayo mambo kuliko kuwa maamuma, ndiyo maana huwa wanaingizwa mkenge na wstendaji wao maana hawajui mwishowe wanaliwa vichwa
 
yaani mtu awe incompetent kwenye fani yake aliyosomea,umtoe umpeleke kwenya area ambayo hajaisomea ndio atakua competent huko??????
 
Hakuna Ambaya alisaport hata hao wote walikuwa unfit waliwekwa kwa makosa Ccm haijawai kusikiliza ushauri kwenye teuzi." na aya mambo ya kimfumo mbovu ndio yanakwamisha maendeleo ya ili taifa,

BOT Mwanasheria, Mambo ya nje Mwanasheria, Michezo Mwanasheria, Sheria Mchumi! TISS Police kuna tija hapo?
 
Kushoto kulia, fani au bila fani,
Peter’s Principle ita apply tu.
Mifano ni mingi na iko nje nje.
 
Back
Top Bottom