Je, Marais wengine wa Afrika nao yakiwakumba kama ilivyo kwa Al Bashir wa Sudan tutawaonea Huruma?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,454
108,565
Kama kuna Mtu ambaye hivi sasa kila nikiona yanayomkumba na kumtokea wakati alipokuwa Madarakani alikuwa ni Mbabe na Mkatili huku akiwa hataki Kung'oka namuonea mno / sana Huruma ( Imani ) ni aliyekuwa Rais wa Sudan Omar Al Bashir.

Jamani Jamaa anatia Huruma na ukiwa na Moyo mwepesi kama GENTAMYCINE muda mwingi utaishia Kutokwa tu na Machozi. Je, na wengine nao yakiwatokea hivi tutawaonea Huruma? Ila Mimi niwajuavyo Waafrika ( hasa Watanzania ) nao pia kama kuna Kiongozi yoyote yule duniani yatamkumba kama yaliyomkumba Omar Bashir basi wataingiwa na Huruma nae.

Tujikumbushe Dhambi Kuu za Omar Bashir ili tuone kama na Viongozi wengine wa Afrika nao yakiwatokea tutawaonea Huruma au hapana:

1. Ukatili hasa kwa wale waliokuwa Wakimpinga
2. Uuaji hasa wa Wapinzani
3. Kutopenda Demokrasia
4. Uwizi hasa Kuiba Mali za Sudan
5. Kutesa Watu hovyo na Kuwatia Ulemavu wa Kudumu
6. Ukabila na Udini uliopitiliza
7. Kuchagua Watu kwa Upendeleo katika Nafasi mbalimbali za Uongozi

Na nimesikia kuwa kuna Hukumu moja dhidi ya Omar Bashir inakuja ambapo anaweza Kukabiliwa na Shitaka la Kunyongwa kabisa.
 
kwa sasa kagame ndye muuaji anayefa baada ya Bashir

Nadhani kuna Kitu unakitafuta kwa Kumsema Rais Paul Kagame. Watch out yasije Kukuta ambayo hukuyatarajia. Kagame hapa kaingiaje? Alishawahi hata Kukuulia Ndugu zako au Kuku wako? Hivi ukiwa na Akili timamu unaweza Kulinganisha Dhambi za Omar Bashir na Matendo mema ya Rais Paul Kagame kwa Wanyarwanda na Taifa zima la Rwanda? Endelea tu ' Kuichokonoa ' Rwanda utakipata ukitafutacho.
 
nimekushika bapaya eti ?
hiv kwa ulimwengu huu kuna muuwaji anaye mfikia paka? ni juzi tu amemywa damu Joy Agaba dada wa Fred Rwigema , hata hapo huoni
kagame ndye muuaji ambye hata Al Bashir hamfikii
 
Jaribuni kutofautisha mazingira ya Rwanda na Tanzania. Kagame kajitahidi sana kuitawala ile nchi hasa ukizingatia historia na aina ya watu wa Rwanda!!

Kwa Rwanda ilipotoka na ilipo mwacheni PK ale heko.
kwa sasa kagame ndye muuaji anayefa baada ya Bashir
 
Huyo alibashir hakutakiwa kunyongwa mapema, alitakiwa alawitie live kwanza na watu wote waone kuanzia wenye miaka 18 na kuendelea, kisha awe anakatwa kuingo kimoja kimoja, kisha hizo clip wasambaziwe viongozi wote wa Afrika wanaonajisi box la kura na kutesa wapinzani wao. Halafu awe anasogezwa karibu na moto kila siku kama masaa mawili aive kama mishikaki, na akionekana anataka kufa atibiwe, kisha kabla hakajapona awe anaoteshwa moto tena na kupakuliwa chumvi/pilipiki kwenye hivyo vidonda, ili isije ikawa ametubu asiende motoni. Hivyo hata akifa akiwa ametubu awe alishaingia motoni. Wakati hayo yakiendelea wapinzani na watu wote aliowaumiza au kuua ndugu zao, wapite na fimbo kila mtu awe anamchapa mpaka atosheke kuwa amelipa kisasi. Wanaoratibu hilo zoezi wahakikishe wanakusanya hayo mateso yote kwenye clip, kisha kwenye kila mkutano wa AU hizo clip ziwe zinarun kama screen saver kwenye screen kubwa za kwenye kumbi za mikutano hapo Adis Ababa. Na rais yoyote ambaye hatahudhuria hiyo mikutano atumiwe clip kwa njia ya WhatsApp au email.
 
Samuel Edo alifanyiwa hivyo lakini hakuna anayekumbuka , kwa tukio tu la juzi kwa Mugabe ilitosha m7 na slim kuachia demokrasia lakin skio la kufa

Kama hujui Maina ya Watu vyema basi ni bora usiandike tu kuliko Kuyaandika na ukazidi Kuonekana ulivyo wa ' hovyo hovyo ' hapa Jamvini. Afrika hakujawahi kuwa na Kiongozi mwenye hilo Jina uliloliandika hapa la Samuel Edo bali aliyekuwepo alikuwa akiitwa Samuel Doe. Unajifanya unajua mambo wakati Kichwani mwako kuna ' Takataka ' tupu tu na hakuna ukijuacho zaidi ya Kubahatishabahatisha ya Kuokoteza Kijiweni.
 
Kama vile wanavyowatendea wengine maovu kwa sasa basi huko mbeleni itakuwa maradufu kwa yaliyofanyika.Ndio itakuwa kilio na kusaga meno kwao.
Wakati wengine wakifurahia kama wanavyofurahia sasa.
 
Back
Top Bottom