BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,818
- 11,000
Toka nyuma inajulikana kua wanafunzi wa sekondary wanabanwa wasishiriki mapenzi,na wanapofika chuoni wengine wana element za utoto,na maisha ya chuo ni kujipangia,je unadhani kujiingiza katika mahusiano kunaweza kushusha gpa yako,ama kiwango cha kufaulu,bumija-mkwawa campus.