Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Wakuu,
Katika moja ya hotuba zake, Baba wa Taifa Mwl. Nyerere aliwahi kusema kuwa chama goigoi huzaa serikali goigoi. Je, mwenendo wa nchi hivi sasa unaashiria kutimia kwa maneno hayo ya Nyerere?
Katika moja ya hotuba zake, Baba wa Taifa Mwl. Nyerere aliwahi kusema kuwa chama goigoi huzaa serikali goigoi. Je, mwenendo wa nchi hivi sasa unaashiria kutimia kwa maneno hayo ya Nyerere?