Tulio kiona bungeni ni kufukuzwa kazi kwa mawaziri watatu na mmoja kujiwajibisha mwenyewe. swali je manaibu waziri hawausiki katika hili sakata la TOKOMEZA UJANGILI? Vip kuhusu IGP na mkuu wa majeshi?? Hebu tujadili kwa hoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.