huku watu wamelala,vip huko ndo mnaamka? kapige mswaki kwanzaHamjambo Wakuu??????????
Niko mbali sana na Igunga na ningependa kujua hali ya mambo yalivyo kule Igunga.
Baada ya yote yaliyotokea na hasa kila chama kubadilisha mbinu za kufanya kampeni,
Je chama gani kina-mvuto katika kampeni zake na mwelekeo wa kushinda?