nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,736
- 6,972
Habari zenu wanajamii?
Kama nilivyokuja na swali hapo juu.
Nimekuja na swali lenye mtazamo ambalo limenifikirisha kwa muda mrefu sasa. Nimejaribu kujiuliza kuwa je, mh mstaafu Paul ni mpango wa kisiasa yeye kutolewa kwenye nafasi ile.?
Nimejikuta natafakari kwa sauti namna au sababu za yeye kutolewa kwenye nafasi yake hasa kipindi hiki cha uchaguzi.
Kwa upande wangu naona kama angeendelea kubaki pale kipindi hiki, ingewaletea shida chama kubwa kwa mgombea wao wa urais kuweza kujisafisha na zile skendo ya mstaafu huyu. Huenda wanasayansi wa kisiasa wa chama kubwa waliliona hili hivyo wakaamua kuchukua hatua zilizochukuliwa ili kuacha hili lipite alafu baada ya hapo atarudi tena kwenye system kama kawaida?
Nimeuliza swali ambalo najiuliza mwenyewe. Hivyo, kama kuna mwenye kuwaza na kifikiri kama mimi njoo tutoane tongo tongo kwenye mtanange huu wa kisiasa.
Kama nilivyokuja na swali hapo juu.
Nimekuja na swali lenye mtazamo ambalo limenifikirisha kwa muda mrefu sasa. Nimejaribu kujiuliza kuwa je, mh mstaafu Paul ni mpango wa kisiasa yeye kutolewa kwenye nafasi ile.?
Nimejikuta natafakari kwa sauti namna au sababu za yeye kutolewa kwenye nafasi yake hasa kipindi hiki cha uchaguzi.
Kwa upande wangu naona kama angeendelea kubaki pale kipindi hiki, ingewaletea shida chama kubwa kwa mgombea wao wa urais kuweza kujisafisha na zile skendo ya mstaafu huyu. Huenda wanasayansi wa kisiasa wa chama kubwa waliliona hili hivyo wakaamua kuchukua hatua zilizochukuliwa ili kuacha hili lipite alafu baada ya hapo atarudi tena kwenye system kama kawaida?
Nimeuliza swali ambalo najiuliza mwenyewe. Hivyo, kama kuna mwenye kuwaza na kifikiri kama mimi njoo tutoane tongo tongo kwenye mtanange huu wa kisiasa.