Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,397
Mara nyingi niendapo mikoani nakuta spidi ya internet ni ndogo sana kiasi cha kutumia muda mrefu kuaccess web. Sasa najiuliza hili lina maana gani? Kama watumiaji wa miji mikubwa hasa dsm internet inafunguka kwa spidi ya upepo, iweje kuwe na utofauti kwa mikoani.
Ni nini kinachokuwa kimebadilika hasa ukizingatia watu hawa wote hufanya malipo kwa viwango vile vile? Kwanini mtumiaji wa mkoani hapati huduma inavyostahili?
Ni nini kinachokuwa kimebadilika hasa ukizingatia watu hawa wote hufanya malipo kwa viwango vile vile? Kwanini mtumiaji wa mkoani hapati huduma inavyostahili?