jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Haya ni mambo fikirishi kutokana na experience yangu ya kuona mambo mbalimbali.
Je kama watanzania tumejiandaa vipi kukabiliana na uwezekano wa hali hii?
Ieleweke kuwa Afya ni eneo nyeti katika mustakabali wa nchi na wananchi.
Aidha ni muhimu kujua kuwa vita baridi vinaweza kutumia mbinu mbalimbali ikiwemo mipango mikakati na ya muda mrefu katika kudhoofisha afya au kuhadaa umma hivyo afya ni tool muhimu ya vita.
Nisiwachoshe sana bali ni muhimu kama jamii tufikiri kwa kina aina za vita au hujuma zinazoweza kutumika kupitia sekta ya afya.
Umakini mkubwa unahitajika katika usimamizi wa Sekta hii.
NGOs nyingi nchini zinaingia kwa gear hii je zinafuatiliwa kwa jicho la afya na jicho la usalama?
TUTAFAKARI!MWENYE KUELEWA ANANIELEWA !
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Je kama watanzania tumejiandaa vipi kukabiliana na uwezekano wa hali hii?
Ieleweke kuwa Afya ni eneo nyeti katika mustakabali wa nchi na wananchi.
Aidha ni muhimu kujua kuwa vita baridi vinaweza kutumia mbinu mbalimbali ikiwemo mipango mikakati na ya muda mrefu katika kudhoofisha afya au kuhadaa umma hivyo afya ni tool muhimu ya vita.
Nisiwachoshe sana bali ni muhimu kama jamii tufikiri kwa kina aina za vita au hujuma zinazoweza kutumika kupitia sekta ya afya.
Umakini mkubwa unahitajika katika usimamizi wa Sekta hii.
NGOs nyingi nchini zinaingia kwa gear hii je zinafuatiliwa kwa jicho la afya na jicho la usalama?
TUTAFAKARI!MWENYE KUELEWA ANANIELEWA !
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!