M4C iliyofanyika Wilayani Karagwe hivi karibuni imebaini kuwa Wananchi wa Vijiji vya Kishao na Bugene Wilayani Karagwe wameonewa sana na kudhulumiwa na zoezi la uthaminishaji wa mali zao ili kupisha upanuzi wa barabara.
View attachment 73187
Sehemu iliyokuwa na Kaburi la Mbunge wa kwanza wa Karagwe Marehemu John Erukana Byetima baada ya kaburi hilo kuhamishwa.
View attachment 73195
Maiti iliyofukuliwa
Zoezi la kuhamisha makaburi likiendelea na maiti ikiwa tayari imeshafukuliwa tayari kwenda kuzikwa mahali pengine katika kijiji cha kishao
Fidia ya nyumba hii ni Mil 3
Fidia Mil 46
- Wapo waliolipwa fidia ndogo sana ukilinganisha na thamani ya mali zao na wapo waliolipwa fidia kubwa sana hali ya kuwa mali zao ni gharama ya chini.
- Watu wamelazimishwa kuhamisha makaburi ya wapendwa wao kwa gharama ya Tsh 70,000/= bila kujali idadi ya makaburi wakati gharama za kuhamisha kaburi moja ni Tsh 100,000/=
- Kaburi ya Mbunge wa kwanza wa Karagwe Marehemu John Erukana Byetima nalo limehamishwa bila kulipwa fidia
- Mjane mmoja amepooza baada ya kaona kaburi la marehemu mume wake likifukuliwa pamoja na makaburi ya wanawe.
View attachment 73187
Sehemu iliyokuwa na Kaburi la Mbunge wa kwanza wa Karagwe Marehemu John Erukana Byetima baada ya kaburi hilo kuhamishwa.
View attachment 73195
Maiti iliyofukuliwa
Zoezi la kuhamisha makaburi likiendelea na maiti ikiwa tayari imeshafukuliwa tayari kwenda kuzikwa mahali pengine katika kijiji cha kishao
Fidia ya nyumba hii ni Mil 3
Fidia Mil 46