Mkuu ukinijibu haya ntahamasisha watu tumchague magu 2020!!! Embu nipe mchanganuo wa hali ilivyo kwenye maeneo hayo toka magu ashindeSiyo nikuelezee kila kitu, kwani macho hauna, masikio je? Mengi afanyayo rais wetu kipenzi yanaonekana machoni.
Wewe umeongea bila kutafakari hapo,.. Bila kushabikia ni wazi kabisa ata akipita lakin kura lazma zitapungua na uchaguzi unaokuja utakua mgumu zaidi ya 2015.iyo kikutokana n'a kukua kwa upinzani nchini kila siku, ai unaosema wananchi wa hali ya nchini maisha yao ndo yamekua duni zaidi.. Kama mtu wa hali ya kawaida analia unategemea wa hali ya chini kucheka.......... Usijibu kishabiki unatakiwa kutafakariAcha kujichosha kijana.
2020 Kura za Urais za Magufuli zitaongezeka Sana. Wengi tunaelewa dhamira yake ya dhati ya kusaidia wananchi, hasa wa chini.
Nyinyi Endeleeni kulalama na kujifarji.
Subirini mpaka 2025, over.
Wakuu nimeamua kuwauliza swali kama mkuu wetu wa nchi kama atafikisha hata asilimia 45% katika uchaguzi wa mwaka 2020.
Kwasababu nikianza kuangalia pande zote za nchi kuna vilio tupu. Wafanyakazi wanalia, Bukoba wanalia kwa kudhulimiwa hela za maafa, wabuge wanalia bila shaka mlijionea wenyewe juzi JK alipotua bugeni, wananchi wanakufa kwa njaa serikali haina shamba, wafanyabiashara wanalia, bashite kulelewa.
Hayo ni baadhi ya mambo machache ambayo mimi binafsi nitaendelea kutoichagua CCM maishani mwangu. CCM lazima tuipige chini 2020
Ni kweli mkuu c unaona walisau mabaya yote ya Lowasa yaliyokuwa yakisemwa na cdm kwa zaidi ya 8yrs na wakampa kura nyibgi tu.Itategemea mwaka mmoja kabla ya uchaguzi atawafanyia nini wa Tz.
Kumbukumbu za Watanzania walio wengi muda wa kutumika hauzidi mwaka mmoja!
Hivi lile gwiji la kufuta matokeo Kusini mwa jangwa la Sahara lipo?Huyu labda 20% ndio atapata, nje ya hapo labda Jecha afanye yake pamoja na jeshi
Akili za Watanzania kama wewe ni janga la kitaifa.Chadema ni janga.
Sasa hivi nchi yetu inapambana na maadui watatu
1. Ujinga
2.chadema
3.umasikini
Kama alichukua fomu mwenyewe,Kwa upinzani upi wa kuweza kupunguza kura za Rais Magufuli?
Sidhani kama alikuhusisha wewe hata kidogoTafadhali usituchefue. Wengine tumetoka kula. Hatutaki hata kulisikia hilo lidudu. Jitu gani halina hata chembe ya huruma wala shukurani? Yaani tunapanga mstari kuanzia asubuhi hadi jioni kumpigia kura halafu baada ya kupata anasema hakusaidiwa na mtu kupata hicho cheo! Ina maana kama tusingepiga kura angepataje hicho cheo?
Urais ni wadhifa/ nafasi sio cheo, ulishawahi kumuona mtumishi wa umma amepanda cheo na kuwa rais? think like a man( /me'n/)Tafadhali usituchefue. Wengine tumetoka kula. Hatutaki hata kulisikia hilo lidudu. Jitu gani halina hata chembe ya huruma wala shukurani? Yaani tunapanga mstari kuanzia asubuhi hadi jioni kumpigia kura halafu baada ya kupata anasema hakusaidiwa na mtu kupata hicho cheo! Ina maana kama tusingepiga kura angepataje hicho cheo?
Puuzi sana lile zee hata sielewi kama liko hai au lishakufaHivi lile gwiji la kufuta matokeo Kusini mwa jangwa la Sahara lipo?
Mkuu ukinijibu haya ntahamasisha watu tumchague magu 2020!!! Embu nipe mchanganuo wa hali ilivyo kwenye maeneo hayo toka magu ashinde
1.mikopo ya elimu ya juu
2 thamani ya shilingi
3.mzunguko wa pesa
4. Kushuka kwa biashara na uwekezaji
5.Elimu kuporomoka (rejea matokeo ya form 4)
6. Viwanda??
7. Bajeti hewa??
8. Mahakama ya mafisadi imemfunga nani
9. Madawa ya kulevya nani kati ya wale mapapa waliotajwa kadhibitiwa??
10. Huduma za afya hasa vijijini average ya kituo cha afya kimoja ni baada ya kilometre 60 hapa tanzania je hapo vp
11. Umaskini (IMF inasena dollar 2 kwa siku tatu)
eti kayakuta mauza uza sasa sera ya elimu bure na madudu yake ililetwa na kikwete?? kusema tununue madawati huku walimu hamna wala vitabu wala maabara ililetwa na kikwete pia??? mkuu kma huna hoja ni heri mkae kimya tu mnajidhalilisha sana kila mnapotaka kutetea kila kitu tena pasi hoja!!! nmewadharau sana wanaccm humu JF ur such empty tins eti "utaisoma namba" bullsh**t !!! mie nmesoma nje tokea o level ssa nasomaje namba kwenye elimu???Hivi nikuulize, elimu kuporomoka....wakati wa JK ilikuwaje? Mauzauza ya elimu yalikuwa hovyo na huyu kaja kuyarithi na sasa ndiyo wanachanganua kuondoa hayo mauzauza ya kina Kikwete. Huyu rais karithi mizozo ya Kikwete hivyo usitegemee kila kitu kwenda sawa for the time being, inabidi nchi isafishwe then mtaoisoma namba. Hasira za nini lakini?
CHADEMA INAKUUMIZA KICHWA EEH? LAZIMA MTOKE 2020 KWANZA KWA AIBU, MAJIMBONI TUNAWAPIGA KISAWA SAWA, HATA MKILETA JECHA HAWA? WAWILI BADO NGOMA NZITOChadema ni janga.
Sasa hivi nchi yetu inapambana na maadui watatu
1. Ujinga
2.chadema
3.umasikini