Clemence Mwandambo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 1,302
- 1,337
Wanompinga wako sahihi na wanaompenda wako sahihi, kwa sababu wote wana sababu za kuwa hivyo. Hata Mungu wapo wanampinga na wapo wanaomkubali. It's nature.
Akili za uchiziwatu kama magufuri huwa wanazaliwa kipekee.nyota kali hadi dunia inajiuliza kulikoni mbona hatukutegemea mtu mwenye akili kubwa kama hii
Hahahahahahaa hahahahahahaa.kweli dunia ina mambowatu kama magufuri huwa wanazaliwa kipekee.nyota kali hadi dunia inajiuliza kulikoni mbona hatukutegemea mtu mwenye akili kubwa kama hii
"Another one" Birds of the same feathers flock TOGETHER-Who is this unifying figure?? Jiwe?? Imbecile
SawaHe is overrated,jiwe sijawah kumkubali na sitamkubali kwa sababu sio msafi na anapenda kutumia mtaji wa uongo kudanganya wananchi wasio na uelewa na masuala ya uongozi
Sent using Jamii Forums mobile app
Msemo wa kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza. Nguvu kubwa inayotumika kusifia na kumtangaza kwa sifa asizokuwa nazo inadhihirisha kuwa nkiongozi mbovu, asiye na sifa ya urais ila analazimisha kusiwa na kutukuzwa. Mimi namuona kama ni rais mbovu kuliko wote waliomtangulia na namfananisha na aliyekuwa rais wa uganda Idi Amin DadaHabarini wakuu,
Two major school of houghts, zinakinzana, baadhi ya watu wamekuwa mstari wa mbele kwa kusema Rais Magufuli ni moja kati ya viongozi wachache waliowahi kutokea duniani, wengine wanaenda mbali zaidi kwa kusema Magufuli ni Malaika,
Ukiwasikiliza wakina Humphery Polepole, akina Musukuma wanakuaminisha kuwa Magufuli ni kiongozi bora na mwenye sifa kemkem
Ukifaatilia wanasiasa wapinzani, utajiaminisha kwa rais magufuli hastahili sifa anazozipata!
Mbali na viongozi wa wapinzani baadhi ya wananchi wamekuwa wakipinga vikali hatua nyingi zinazofanywa na rais, japokuwa hawaonekani kutokana na uhuru wa kuongea,
Je Magufuli anapewa sifa asizostahili?? Au hatumpi sifa zake??
That's not fact but a fallacy."Another one" Birds of the same feathers flock TOGETHER-
I have no time to engage myself in a war of words
I have driven out my point.
By disparaging me as Imbecile won't change the fact that we do have a President who should be respected by all CITIZENS of this country, regardless of our party inclinations!
Siku njema!
Insidious comments, not worthy of any response..That's not fact but a fallacy.
Respect is not given but earned. Imbecile.
One more thing. {HE} has earned both our RESPECT and admiration.That's not fact but a fallacy.
Respect is not given but earned. Imbecile.
One more thing. {HE} has earned both our RESPECT and admiration.
Maybe respected by Chama Cha Majinga CCM, nincompoopInsidious comments, not worthy of any response..
Hurling insults at me will not add any value or validate your ignorance!
If you do not like {HIM} please keep that to yourself!!.
Au ukiona Prof Kabundi ,Dr Mwakyembe wanakataa maandiko na maneno yao...Ukiona mtu kama musukuma, kibajaji, pole pole, mlinga, nk wanakumwagia sifa lukuki unatakiwa kujifanyia tathmini ya hali ya juu sana.
Maana inawezekana aidha ww ni kichaa zaidi yao au mpo katika level moja ya ukichaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
I think what is troubling you is what we call it "HPD". "Histronic Personality Disorder".Maybe respected by Chama Cha Majinga CCM, nincompoop
I haven't insulted you, just stated the fact that you've what is being described by psychiatrists as severe intellectual disability.
ImbecileI think what is troubling you is what we call it "HPD". "Histronic Personality Disorder".
Being unstable emotionally and having distorted SELF imanage.
Even going to the extent of denying that the word "IMBECILE" Isn't an insult. Interesting!!!!
Did you expect me to accept or being in unison with you in your unpalatable language and comments?
I am sorry to say tell that to the birds.
Your misdemeanor is your undoing!!!
Shukrani.Imbecile