Je, Magufuli anajua Rais wa Malawi alikuwa Mpinzani?

Keynez

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
2,397
3,884
Niko hapa nikiendelea kukusanya viashiria vyovyote kuwa vyombo muhimu vya nchi vimekubali mabadiliko yanayoenda kutokea katika Uchaguzi Huu.

Nimekaa nikatafakari. Waliomshauri Magufuli amualike huyo Rais wa Malawi huku wakijua kuwa ni Rais aliyetokea kwenye chama cha upinzani walikuwa wanataka kutuma ujumbe gani?

Je, hawakufikiria uwepo wake unatuma ‘mixed messages’ kwetu ukilizingatia CCM bado wanadai kuchagua upinzani ni kuleta vita au kuuza nchi?

Je, kuna vita yoyote huko Malawi toka huyu bwana ashinde uchaguzi hivi majuzi?
 
Niko hapa nikiendelea kukusanya viashiria vyovyote kuwa vyombo muhimu vya nchi vimekubali mabadiliko yanayoenda kutokea katika uchaguzi huu..
Magu anajuwa sana Dr Laz alikua mpinzani 2019 Magu alienda Malawi kumpigia debe Muntharika sawa alienda kumpigia debe Odinga lakini matokeo yake wote tunayafahamu.If cant beat them just.:cool:
 
Amefanya jambo la msingi kumualika huyo Rais aliyetokana na chama cha upinzani maana na yeye muda si mrefu na CCM yake watakua pia ni wapinzani.

Atakua anaalikwa na Mr President Tundu Lissu Ikulu kwenda kunywa chai na kubadilishana mawazo.
 
Amna bna yule alikua mpinzan sawa but now ni rais.... Ko hawez kuunga mkono upinzan wa bongo sababu atakosa fulsa za kiuchum za pamoja na tz mfano biashara
Sisemi aunge upinzani ila ninachosema ni, je kuwa uwepo wake kipindi hiki haiwezi kutafsiriwa kuwa kumbe upinzani unaweza kuchaguliwa katika nchi hizi na maisha yakaendelea.
 
Ukishashinda tayari unahama huko na wale wengine ndo wanakuwa wapinzani. Huyu Chakwera keshafanya mambo kibao ya kipuuzi ndani ya muda mfupi. Cabinet yake imejaa ndugu na marafiki zake na keshaanza kuzikimbia ahadi zake.

Kwa kifupi keshaanza kubehave like a usual “ruling party” president wa nchi za Africa.
 
Niko hapa nikiendelea kukusanya viashiria vyovyote kuwa vyombo muhimu vya nchi vimekubali mabadiliko yanayoenda kutokea katika uchaguzi huu.

Nimekaa nikatafakari. Waliomshauri Magufuli amualike huyo Rais wa Malawi huku wakijua kuwa ni Rais aliyetokea kwenye chama cha upinzani walikuwa wanataka kutuma ujumbe gani?

Je, hawakufikiria uwepo wake unatuma ‘mixed messages’ kwetu ukilizingatia CCM bado wanadai kuchagua upinzani ni kuleta vita au kuuza nchi?

Je, kuna vita yoyote huko Malawi toka huyu bwana ashinde uchaguzi hivi majuzi?
"SERIKALI YACHADEMA ITATUMIA WATAALAMU WAKE KUAHAKIKISHA MNAKWENDA KUCHUNGA KWENYE HIFADHI"

Tundu Lissu (Mzee Wa Faragha)
 
"SERIKALI YACHADEMA ITATUMIA WATAALMU WAKE KUAHAKIKISHA MNAKWENDA KUCHUNGA KWENYE HIFADHI"

Tundu Lissu (Mzee Wa Faragha)
"We suppose to focus according our direction, according our environment, that's only way we can help our peoples. Nobody should come and say that he is there to save the problems of our peoples, we are the one we are leader we suppose to change the direction"
 
Ukishashinda tayari unahama huko na wale wengine ndo wanakuwa wapinzani. Huyu Chakwera keshafanya mambo kibao ya kipuuzi ndani ya muda mfupi. Cabinet yake imejaa ndugu na marafiki zake na keshaanza kuzikimbia ahadi zake

Kwa kifupi keshaanza kubehave like a usual “ruling party” president wa nchi za Africa
Hayo mengine kabisa mimi sipo huko. Najua Malawi wana matatizo mengi ya kisiasa ila point yangu iko very simple. Rais pekee ambaye Magufuli anaweza kumualika ambaye siasa zake zinaendana naye ni Kagame au Museveni.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hayo mengine kabisa mimi sipo huko. Najua Malawi wana matatizo mengi ya kisiasa ila point yangu iko very simple. Rais pekee ambaye Magufuli anaweza kumualika ambaye siasa zake zinaendana naye ni Kagame au Museveni.
Hapangiwi tatizo.
 
Ukishashinda tayari unahama huko na wale wengine ndo wanakuwa wapinzani. Huyu Chakwera keshafanya mambo kibao ya kipuuzi ndani ya muda mfupi. Cabinet yake imejaa ndugu na marafiki zake na keshaanza kuzikimbia ahadi zake

Kwa kifupi keshaanza kubehave like a usual “ruling party” president wa nchi za Africa
Lissu 2010 alifanya Mambo ya hovyo, alimteua Dada yake kuwa mbunge Viti maalumu, hakuishia hapo aliwafukuza vijana waliokuwa nguzo ya chama aka hariri katiba na kumgeuza Mbowe mungu mdogo na yeye malaika uchwara.
 
Niko hapa nikiendelea kukusanya viashiria vyovyote kuwa vyombo muhimu vya nchi vimekubali mabadiliko yanayoenda kutokea katika Uchaguzi Huu..
Mungu anafanya kazi kwa ishara, ni ajabu sana, kuja kwa Rais aliyekuwa mpinzani wakati huu wa uchaguzi inaashiria jambo moja nzuri sana kuhusu wapinzani. HUU NI MWAKA WA UPINZANI KUSHINDA, haitakuwa rahisi lakini itakuwa hivyo kwa namna ambazo kila mtu atashangaa.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Niko hapa nikiendelea kukusanya viashiria vyovyote kuwa vyombo muhimu vya nchi vimekubali mabadiliko yanayoenda kutokea katika Uchaguzi Huu.

Nimekaa nikatafakari. Waliomshauri Magufuli amualike huyo Rais wa Malawi huku wakijua kuwa ni Rais aliyetokea kwenye chama cha upinzani walikuwa wanataka kutuma ujumbe gani?

Je, hawakufikiria uwepo wake unatuma ‘mixed messages’ kwetu ukilizingatia CCM bado wanadai kuchagua upinzani ni kuleta vita au kuuza nchi?

Je, kuna vita yoyote huko Malawi toka huyu bwana ashinde uchaguzi hivi majuzi?
Mwenyewe hii nimeshangaa.
Anyways lengo ilikua ni kuonyesha umoja wa kitaifa mahusiano yako madhubuti. In short ni kuwajibu wapinzani. Period
 
Back
Top Bottom