Je, maendeleo yako yanafanana na umri wako?

Maendeleo ni nini? Ili mtu aonekane ameendelea anatakiwa awe na nini?
mahitaji muhimu...kama elimu bora kwa watoto wako, malazi bora kama siyo mjengo wako basi wa kupanga unayoyadumu bila complications..siyo mtu unagombana na mwenye nyumba kila siku kisa kodi...chakula, usafiri wa uhakika siyo unaendesha gari siku tano tu za mshahara baada ya hapo unapaki...na kuwa na acount inayosoma vizuri (yenye afya au kuwa na financial freedom) vingine wengine wataongezea...kwangu mimi hizi ndo KPI zangu.
 
Dah mm niko sawa na bara langu tu la Africa bt siku likiendelea na mm nitasonga
 
bado sababu bado ninalenga mbali zaidi
ndo hicho nachozungumzia...haitakuwa na maana kupata unachohitaji wakati umebakiza miaka minne ya kuishi as per life span ya mtanzania ni miaka 59.9 kwa mwanaume na 64 kwa mwanamke. Ikiwa maendeleo yanaenda kwa spidi inayotakiwa tunategemea by 30 uwe umesha achieve almost half of your dreams.
 
tanzania.PNG
 
Miaka yangu 31 sina mke wala mtoto wa nje.. nina kazi ya kuajiriwa nimepanga vyumba 2 na sebule kigamboni pia nina kiwanja ila sina usafiri binafsi. elimu degree ya kwanza. Hapo vipi nipo okey au nishaachwa?
 
ndo hicho nachozungumzia...haitakuwa na maana kupata unachohitaji wakati umebakiza miaka minne ya kuishi as per life span ya mtanzania ni miaka 59.9 kwa mwanaume na 64 kwa mwanamke. Ikiwa maendeleo yanaenda kwa spidi inayotakiwa tunategemea by 30 uwe umesha achieve almost half of your dreams.
of course half of it already
 
Back
Top Bottom