..kwenye hotuba yake bungeni Kikwete alidai kwamba sasa hivi Tanzania inauza zaidi Kenya kuliko wao wanavyouza Tanzania!!
..yaani kwa maana nyingine ni kwamba ktk suala la trade imbalance imekula kwa Wakenya.!!
..je, ukitembelea Kenya basi utakuta maduka yao yamesheheni bidhaa toka Tanzania?
..kama si hivyo tunauza kitu gani huko Kenya na kwa faida gani na ya nani?
..yaani kwa maana nyingine ni kwamba ktk suala la trade imbalance imekula kwa Wakenya.!!
..je, ukitembelea Kenya basi utakuta maduka yao yamesheheni bidhaa toka Tanzania?
..kama si hivyo tunauza kitu gani huko Kenya na kwa faida gani na ya nani?