Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,832
Kama kichwa cha habari kijielezavyo, mimi nimekuwa nikinyolea madawa hasa vitt, baada ya nyembe za aina zote na mashine za kunyolea kuwa zinanitoa mapele maeneo nyeti.
Tena mapele yenyewe yalikuwa yakitoka usaha kiasi cha kunifanya nionekana kama mgonjwa wa magonjwa ya zinaa.
Nikahamia kwenye vitt, huko full raha, usafi bila mapele.
Je ni madhara gani naweza kuyapata kwa kuendelea kutumia kemikali hizi??
Tena mapele yenyewe yalikuwa yakitoka usaha kiasi cha kunifanya nionekana kama mgonjwa wa magonjwa ya zinaa.
Nikahamia kwenye vitt, huko full raha, usafi bila mapele.
Je ni madhara gani naweza kuyapata kwa kuendelea kutumia kemikali hizi??