johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,777
- 141,651
Nauliza tu maana pamekuwepo na ushirikiano usio rasmi kati ya Chadema na ACT wazalendo.
Kwa sasa uongozi wa ACT wazalendo unaitafakari barua ya mwaliko wa kujumuika na CCM kwenye serikali ya umoja wa kitaifa na inshallah Mungu akipenda watajiunga.
Je, Chadema nao watafuata nyayo kwa kuitikia wito wa Spika Ndugai kupeleka wabunge wanawake Dodoma?
Maendeleo hayana vyama!
Kwa sasa uongozi wa ACT wazalendo unaitafakari barua ya mwaliko wa kujumuika na CCM kwenye serikali ya umoja wa kitaifa na inshallah Mungu akipenda watajiunga.
Je, Chadema nao watafuata nyayo kwa kuitikia wito wa Spika Ndugai kupeleka wabunge wanawake Dodoma?
Maendeleo hayana vyama!