Lipijema
JF-Expert Member
- Mar 8, 2015
- 809
- 1,193
Binafsi nimeamua kujiajili kwenye sekta ya Kilimo, nimejikita kwenye zao la Mahindi na Karanga.
Changamoto mbalimbali zinanikuta kutokana na wadudu waharibifu wa mazao, kuna dawa ambazo wanatuuzia hawa wahudumu wa haya maduka lakini ukifuata maelekezo yao ya mdomo unakuta sivyo kabisa
Mara kadhaa nimejikuta napata hasara kwa kuweka vipimo ambavyo sivyo!
Swali, Je, hawa maafisa huwa wanazo Ofisi sehemu za Kata, Wilaya na Mikoani tu, huku vijijini hawapo? Wakulima wengi tupo vijijini.
Changamoto mbalimbali zinanikuta kutokana na wadudu waharibifu wa mazao, kuna dawa ambazo wanatuuzia hawa wahudumu wa haya maduka lakini ukifuata maelekezo yao ya mdomo unakuta sivyo kabisa
Mara kadhaa nimejikuta napata hasara kwa kuweka vipimo ambavyo sivyo!
Swali, Je, hawa maafisa huwa wanazo Ofisi sehemu za Kata, Wilaya na Mikoani tu, huku vijijini hawapo? Wakulima wengi tupo vijijini.