mandella
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,048
- 3,227
Kinachoendela saa ni ukuaji wa Democrasia,kuimarika kwa vyama pinzani hususani CDM:Ila kuna swali la kujiiukiza
matokeo haya kuna kushindwa na kushinda pia droo ipi.
Swali;
Je, E.Lowassa endapo ataanguka, ataendelea na harakati za kukupambania na kukikuza chama?
Ataendelea na Movement for Change?
matokeo haya kuna kushindwa na kushinda pia droo ipi.
Swali;
Je, E.Lowassa endapo ataanguka, ataendelea na harakati za kukupambania na kukikuza chama?
Ataendelea na Movement for Change?