Gwaje
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 299
- 85
Imekuwa ni kawaida ya marais kusamehe wafungwa wa makosa mbalimbali hasa ya kifungo kidogo na makosa ambayo wafungwa wametumikia kwa muda furani.
Ndg liyumba anasiku magereza na je wanajamii anastahili kupata msamaha wa raisi? Iwapo ndio kitendo cha kuachiwa huru kinamaana gani kwa jamii ukizingatia uzito wa makosa aliyofanya.
Naombeni kujuzwa.
Ndg liyumba anasiku magereza na je wanajamii anastahili kupata msamaha wa raisi? Iwapo ndio kitendo cha kuachiwa huru kinamaana gani kwa jamii ukizingatia uzito wa makosa aliyofanya.
Naombeni kujuzwa.