Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,048
- 5,513
Kwanini mlikusudia kutoa uhai wa Lisu?Hujui kitu wewe!! Hebu niache nilale wewe nyumbz!
Kwanini mlikusudia kutoa uhai wa Lisu?Hujui kitu wewe!! Hebu niache nilale wewe nyumbz!
Kamuulize mzazi wako!Kwanini mlikusudia kutoa uhai wa Lisu?
Ila hapo sio kwa Lema bali karibu pafananieeeh yuko nyumbani kwa Lema
Muda huu Jijini Arusha nyumbani kwa Mjumbe wa kamati kuu na Mbunge wa Arusha Godless Lema ametembelewa na miss wa Tanzania 2006 Wema Issac Abraham Sepetu na Viongozi wa BAWACHA Arusha kwa kumpa pongezi na kujifunza mbinu za Mapambano dhidi ya Dola kandamizi.
View attachment 477034
View attachment 477035
View attachment 477036
View attachment 477038
View attachment 477039
View attachment 477040
View attachment 477043
Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Godbless Jonathan Lema akimshauri Wema Sepetu nyumbani kwake alipoenda kutembelewa.
Almanusura ningedhani ni nyumbani kwa kamanda kufuatia rangi za nyumba karibu zifanane tofauti ni paa, kwa Lema ni bati ya decra kutoka Australia kupitia South Africa na kutua nchini kupitia Nabaki Africa, wakati hapo Makamanda walipo kiezekeo ni kigae.Hadi sasa watu wanateseka sana na kuweweseka kisa kuona picha za mh Lissu Makamu wa mwenyekiti wa cdm.
Je tayari amesha tua hapa nchini? Tafadhali tupeane habariView attachment 1327501View attachment 1327502
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unapaniki kifala? Mikojo ya nini tuliaSi alisema usalama wake uko hatarini? Au alikuwa anachezesha kwata wanasaccos wa Chadema ili aendelee kula ruzuku za chama huko kwa mabeberu Ubelgiji??
Jasusi lililoshindikana HE TAL Mungu akulinde kaka, siihitaji kujua upo nchini au nje ya nchi nachosema tu Mungu akulinde utupiganie daima.Hadi sasa watu wanateseka sana na kuweweseka kisa kuona picha za mh Lissu Makamu wa mwenyekiti wa cdm.
Je tayari amesha tua hapa nchini? Tafadhali tupeane habariView attachment 1327501View attachment 1327502
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mnataka kumuua tena??Ina maana amekuja kimya kimya? Vipi yale maandalizi ya mapokezi hapo Ufipa? Kweli Jiwe kiboko hadi 'shujaa' anarudi kwa kunyatianyatia!!!??
..aliyeondoa walinzi ktk nyumba za viongozi wa serikali na bunge, mahali aliposhambuliwa Tundu Lissu, anawajua waliopanga na kutekeleza shambulizi lile.
..mhusika huyo akikamatwa na kuhojiwa vizuri haitachukua muda mrefu kuwakamata waliohusika.
Subiri uone. Lissu anaijua hiyo kesi na hiyo movie kuliko unavyoijua wewe. Ndio maana anatumia gharama kubwa mno sana kumficha dereva wake na yeye kukaa huko aliko.
Waumie kwa lipi? Huyo msaliti wakati hata ubunge hana tena!
..vyovyote itakavyokuwa aliyeondoa walinzi wa serikali anawajua waliopanga shambulizi dhidi ya Tundu Lissu.
..na Polisi wanavyoendelea kupiga danadana ndivyo wanavyozidi kujichafua na kupoteza heshima mbele ya waTz.
Mbona unapaniki kifala? Mikojo ya nini tulia
Amina kamandaJasusi lililoshindikana HE TAL Mungu akulinde kaka, siihitaji kujua upo nchini au nje ya nchi nachosema tu Mungu akulinde utupiganie daima.
Mkuu mnataka kumuua tena??
Kwanini wewe na genge lako mnashangilia Tundu KUPIGWA RISASI HADHARANI?Kamuulize mzazi wako!
Amin nakuambia hazijazimwa line umepooza!Hahahaha kweli nyumb ni shida! Hivi kweli Lissu wa sasa hivi ni sawa na wa 2017 kweli?? Hana ubunge pia anachechemea!! Wakati mwingine basi tumieni ubongo kidogo!
Tunamlinda wenyewe na baadhi ya TISS wacha Mungu, jaribuni tena kumuua, this time mtakwisha wote.Si alisema usalama wake uko hatarini? Au alikuwa anachezesha kwata wanasaccos wa Chadema ili aendelee kula ruzuku za chama huko kwa mabeberu Ubelgiji??
Kwanini wewe na genge lako mnashangilia Tundu KUPIGWA RISASI HADHARANI?
Tunamlinda wenyewe na baadhi ya TISS wacha Mungu, jaribuni tena kumuua, this time mtakwisha wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
UCHUNGUZI UMEFANYIKA NA UMEKWISHA. WAHUSIKA WAKUU WANASUBIRIWA NA MMOJA WAO NI LISSU. HIZO NGONJERA MARA WALINZI WALIONDOLEWA MARA CCTV ZILIFUNGULIWA NI HABARI ZA KUTUNGA NA KESI ITAKAPONGURUMA HATA WEWE UTAUFAHAMU UKWELI
Wapuuzi wengi huku bongo huwa wanasema namna hii
nani kakwambia watu wanaishi kwa ubunge tu
Sent using Jamii Forums mobile app