matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,544
- 15,215
wadau tabia ya kunyoa denge ni tabia ya tuvijana tutukutu na vichekibobu.
siku hizi naona imekuwa fasheni wa mababa wenye umri wa kugombea urais akiwemo Tundu Lissu.
Huu sio uchekibobu jamani,
Karibuni tujadili mambo mepesi na mwelekeo wa maadili ya taifa. Mambo ya Risasi tuziachie SMG.
siku hizi naona imekuwa fasheni wa mababa wenye umri wa kugombea urais akiwemo Tundu Lissu.
Huu sio uchekibobu jamani,
Karibuni tujadili mambo mepesi na mwelekeo wa maadili ya taifa. Mambo ya Risasi tuziachie SMG.