Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,101
Habari wakuu, natafuta laptop used, kabla ya hilo naomba kupewa abc na wataalam kuhusu pc nzuri na yenye storage ya kutosha,
Budget yangu ni laki 250000 - 300000.
So wanajukwa naomba kueleweshwa zaidi na ikiwezekana kama kuna mdau ambae anayo tufanye biashara.
Mjadala wote ni hapa hapa jukwaani.
Budget yangu ni laki 250000 - 300000.
So wanajukwa naomba kueleweshwa zaidi na ikiwezekana kama kuna mdau ambae anayo tufanye biashara.
Mjadala wote ni hapa hapa jukwaani.