Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,791
Shetani ni nani? Ni mtu au ni mnyama? Ni wa kike ama ni wa kiume?
Je shetani ana ukoo wake na je ana familia yake?
Je shetani anazaa? Anakua? Anazeeka? Anakufa!!?
Je mazishi yake yakoje!? Na uzazi wake wa uzao vikoje?
Je shetani naye ana dini yake? Ana imani yake? Ana wafuasi wake? Ana msahafu wake!? Ana midundo yake? Ana verses zake?
Je shetani ana hisia?
Za upweke!?
Za kutamani?
Za mapenzi?
Za ngono?
Je shetani naye anakasirika!? Anafurahi? Ana wivu?
Je shetani ana kiasi!? Anatosheka? Anaumwa njaa!!! ? Anaugua!? Anatibika? Anapona?
Je shetani anaroga? Anarogeka? Ana kilinge?
Je shetani anafanya kazi? Anakosa kazi? Anapokea ujira? Anapiga mishe?
Je shetani ni mchichamwiba!? au ni msagaji? Au ni ngangaripoa!? Je shetani anadanga? Ni mwizi?
Je shetani ni mwanamichezo!!? Ana washindi na washindwa? Ni mlabata?
Je shetani ana utajiri? Ufukara je? Je anafilisika? Je shetani ni maskini?
Shetani ni nani?
Ni Lucifer?
Ni mzimu?
Ni pepo?
Je kuzimu kupo? Ni kweli kuna ziwa liwakalo moto? Kwanini wanasema kuzimu kuko chini? Huko chini ni wapi? Kuna umbali gani kutoka hapa tulipo? Je ni kukubwa kiasi gani?
Je kuzimu ni dhana halisi au ni dhana dhanifu!?
Jibu utakayoweza ama la ongeza mengine!!!
Je shetani ana ukoo wake na je ana familia yake?
Je shetani anazaa? Anakua? Anazeeka? Anakufa!!?
Je mazishi yake yakoje!? Na uzazi wake wa uzao vikoje?
Je shetani naye ana dini yake? Ana imani yake? Ana wafuasi wake? Ana msahafu wake!? Ana midundo yake? Ana verses zake?
Je shetani ana hisia?
Za upweke!?
Za kutamani?
Za mapenzi?
Za ngono?
Je shetani naye anakasirika!? Anafurahi? Ana wivu?
Je shetani ana kiasi!? Anatosheka? Anaumwa njaa!!! ? Anaugua!? Anatibika? Anapona?
Je shetani anaroga? Anarogeka? Ana kilinge?
Je shetani anafanya kazi? Anakosa kazi? Anapokea ujira? Anapiga mishe?
Je shetani ni mchichamwiba!? au ni msagaji? Au ni ngangaripoa!? Je shetani anadanga? Ni mwizi?
Je shetani ni mwanamichezo!!? Ana washindi na washindwa? Ni mlabata?
Je shetani ana utajiri? Ufukara je? Je anafilisika? Je shetani ni maskini?
Shetani ni nani?
Ni Lucifer?
Ni mzimu?
Ni pepo?
Je kuzimu kupo? Ni kweli kuna ziwa liwakalo moto? Kwanini wanasema kuzimu kuko chini? Huko chini ni wapi? Kuna umbali gani kutoka hapa tulipo? Je ni kukubwa kiasi gani?
Je kuzimu ni dhana halisi au ni dhana dhanifu!?
Jibu utakayoweza ama la ongeza mengine!!!