Mk54
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,997
- 3,933
Ninakubaliana na Rais wa JMT juu ya uwezekano wa Face Mask kuwa contaminated ili kuumiza wengi. Hili linawezekana kirahisi sana kwa kutumia Face Mask pandikizi ndani ya zile Filter za Sugical Mask. And thank you Mr President for your attention.
Lakini, Barakoa zilizotolewa na Jack Ma ni katika mazingira madogo sana kuweza kuwa pandikizi. Barakoa hizo zimepitia hatua mbalimbali mpaka kufika TZ. Hata hivyo, TZ pia kuna Wizara ya Afya, TMDA, TBS, MSD na Mkemia Mkuu wa Serikali...taasisi hizi zipo kwa ajili ya kudhibiti ubora wa bidhaa.
Kutilia shaka hizo face mask ni kutilia shaka uwezo wa taasisi hizi. Ikiwa hizo Barakoa zilipita bila kukaguliwa uthibiti, basi taasisi hizo zijitafakari sana ikiwa ni pamoja na kutokukaa kimya; wanatakiwa kumjibu Rais na kuthibitisha kuwa hazina shida.
Otherwise, wakurugenzi wote wa taasisi hizo wasimamishwe kazi mpaka pale itakapothibitishwa kuwa zilikuwa salama.
Pili, ninaomba kwa heshima na taadhima kupendekeza tofauti juu ya kauli ya Rais dhidi ya Fumigation.
Ni kweli Inawezekana wajanja walitaka ku take advantage maana Corona nzima ni fursa na wengi wamepiga pesa sana tena sana.
Kifo chako ni fursa kwa mwenzio, kama hauamini nenda pale wanapouza masanduku ya kuzikia. Hata wao hulalamika kuwa wateja wamepungua sana nowadays. That is life and you just can’t Deny. Sad but true!
Fumigation, the idea itself was one of the best idea katika vita dhidi ya Corona Virus.
Chlorine( Sodium Dichloroisocyanurate) na Ethanol(-(OH) zote ni kwa ajili ya kuua micro organisms ( bacteria, virus etc etc).
Chlorine inaweza kuua broad spectrum micro organisms depending on the concentration of chlorine na contact time, hivyo hivyo kwa Alcohol.
Alcohol is more preferred than chlorine kwa sababu it takes only 10 secs for Ethanol to destroy micro organisms ( kama alcohol ikiwa na concentration ya 80% or so basi inaweza kuua kwa asilimia hadi 95.
Aidha, kwa upande wa chlorine, it takes up to 20 minutes tangu iwe applied kwenye sehemu husika ili kuua micro organisms na haya yote inategemea na concentration iliyotumika.
So the difference of time is what makes alcohol more preferable than chlorine, that is all it’s. Nothing else.
Lakini chlorine is more powerful than ethanol kwa sababu inauwezo wa kuua spores( microorganismes ambao ni dormant lakini wanaweza kuji activate wakipata mazingira) of which Alcohol can not do that.
Kwa muktadha huo, chlorine ikipuliziwa maeneo fulani na hilo eneo likakaa wet for atleast 10 minutes basi micro organisms wakiwemo Virus wa corona WANAKUFA completely.
Na kwa kutambua umuhimu wa chlorine, katika nchi za kiarabu ambazo wanaamini kuwa Ethanol ni Haramu; basi preferred hand rubs zao ni chlorine based and not alcohol based.
Only in Tanzania that Chlorine can be used to spread the virus. Only in Tanzania that chlorine can not kill micro organisms including Virus. Only in Tanzania that Chlorine is for killing Mende and Virobo.
If chlorine is for mende and viroboto, why do we use it to disinfect drinking water?
I am writing this as a Chemist and Biologist not to mention my knowledge on mathematics and pharmaceuticals.
Aidha, suali kwamba ikiwa Fumigation inaua corona why huko ulaya wanakufaa na Corona ?
Hili suali ni sawa na kuuliza ;
kama kweli dawa za malaria zinatibu malaria kwanini kuna vifo vya Malaria? Can anyone answer such a question?
Au, kwanini madaktari wanakufa na Corona wakati they have all means to protect themselves. They have gowns, goggles , N95, Gloves, Sanitizer Alcohol based or Sanitizer Chlorine based and yet they are infected to death. Can you answer such a question?
Kwamba, Fumigations ilikuwa ni mpango wa kusambaza ugonjwa; how could that be possible while Corona Virus cannot live in Chlorine for more that 10 minutes, na kwakuwa the Virus is more contagious, basi hata huyo mpulizaji Must be very mad and stupid kwa sababu ataathirika pia. Unless kilichokuwa kina pulizwa sio Chlorine, it was water that was contaminated, hili Wizara ya Afya ilitoleee majibu kwa sababu amri ilitoka kwao.
As a technical personnel, Napenda kusema kwamba Chlorine is safe for Fumigation and it can Kill corona Virus including other micro organisms by far depending on the concentration and contact time.
It is safe to fumigate only and if we have resources to do so.
Asante sana, kwa heshima na taadhima.
Mk54
Lakini, Barakoa zilizotolewa na Jack Ma ni katika mazingira madogo sana kuweza kuwa pandikizi. Barakoa hizo zimepitia hatua mbalimbali mpaka kufika TZ. Hata hivyo, TZ pia kuna Wizara ya Afya, TMDA, TBS, MSD na Mkemia Mkuu wa Serikali...taasisi hizi zipo kwa ajili ya kudhibiti ubora wa bidhaa.
Kutilia shaka hizo face mask ni kutilia shaka uwezo wa taasisi hizi. Ikiwa hizo Barakoa zilipita bila kukaguliwa uthibiti, basi taasisi hizo zijitafakari sana ikiwa ni pamoja na kutokukaa kimya; wanatakiwa kumjibu Rais na kuthibitisha kuwa hazina shida.
Otherwise, wakurugenzi wote wa taasisi hizo wasimamishwe kazi mpaka pale itakapothibitishwa kuwa zilikuwa salama.
Pili, ninaomba kwa heshima na taadhima kupendekeza tofauti juu ya kauli ya Rais dhidi ya Fumigation.
Ni kweli Inawezekana wajanja walitaka ku take advantage maana Corona nzima ni fursa na wengi wamepiga pesa sana tena sana.
Kifo chako ni fursa kwa mwenzio, kama hauamini nenda pale wanapouza masanduku ya kuzikia. Hata wao hulalamika kuwa wateja wamepungua sana nowadays. That is life and you just can’t Deny. Sad but true!
Fumigation, the idea itself was one of the best idea katika vita dhidi ya Corona Virus.
Chlorine( Sodium Dichloroisocyanurate) na Ethanol(-(OH) zote ni kwa ajili ya kuua micro organisms ( bacteria, virus etc etc).
Chlorine inaweza kuua broad spectrum micro organisms depending on the concentration of chlorine na contact time, hivyo hivyo kwa Alcohol.
Alcohol is more preferred than chlorine kwa sababu it takes only 10 secs for Ethanol to destroy micro organisms ( kama alcohol ikiwa na concentration ya 80% or so basi inaweza kuua kwa asilimia hadi 95.
Aidha, kwa upande wa chlorine, it takes up to 20 minutes tangu iwe applied kwenye sehemu husika ili kuua micro organisms na haya yote inategemea na concentration iliyotumika.
So the difference of time is what makes alcohol more preferable than chlorine, that is all it’s. Nothing else.
Lakini chlorine is more powerful than ethanol kwa sababu inauwezo wa kuua spores( microorganismes ambao ni dormant lakini wanaweza kuji activate wakipata mazingira) of which Alcohol can not do that.
Kwa muktadha huo, chlorine ikipuliziwa maeneo fulani na hilo eneo likakaa wet for atleast 10 minutes basi micro organisms wakiwemo Virus wa corona WANAKUFA completely.
Na kwa kutambua umuhimu wa chlorine, katika nchi za kiarabu ambazo wanaamini kuwa Ethanol ni Haramu; basi preferred hand rubs zao ni chlorine based and not alcohol based.
Only in Tanzania that Chlorine can be used to spread the virus. Only in Tanzania that chlorine can not kill micro organisms including Virus. Only in Tanzania that Chlorine is for killing Mende and Virobo.
If chlorine is for mende and viroboto, why do we use it to disinfect drinking water?
I am writing this as a Chemist and Biologist not to mention my knowledge on mathematics and pharmaceuticals.
Aidha, suali kwamba ikiwa Fumigation inaua corona why huko ulaya wanakufaa na Corona ?
Hili suali ni sawa na kuuliza ;
kama kweli dawa za malaria zinatibu malaria kwanini kuna vifo vya Malaria? Can anyone answer such a question?
Au, kwanini madaktari wanakufa na Corona wakati they have all means to protect themselves. They have gowns, goggles , N95, Gloves, Sanitizer Alcohol based or Sanitizer Chlorine based and yet they are infected to death. Can you answer such a question?
Kwamba, Fumigations ilikuwa ni mpango wa kusambaza ugonjwa; how could that be possible while Corona Virus cannot live in Chlorine for more that 10 minutes, na kwakuwa the Virus is more contagious, basi hata huyo mpulizaji Must be very mad and stupid kwa sababu ataathirika pia. Unless kilichokuwa kina pulizwa sio Chlorine, it was water that was contaminated, hili Wizara ya Afya ilitoleee majibu kwa sababu amri ilitoka kwao.
As a technical personnel, Napenda kusema kwamba Chlorine is safe for Fumigation and it can Kill corona Virus including other micro organisms by far depending on the concentration and contact time.
It is safe to fumigate only and if we have resources to do so.
Asante sana, kwa heshima na taadhima.
Mk54