mwanalumango
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 232
- 277
Katika mizunguko yangu nilikutana na Mzambia mmoja wakati tukijipumzisha kwenye bar moja huko,nilipojitambulisha kwake kuwa mimi ni Mtanzania, aliniambia kuwa alipokuwa akifanya kazi ICTR huko Arusha alijifunza kuwa wanawake wa kitasha wanawazimia sana wanaume wa Kimasai.
Mimi nilikuwa sijawahi sikia hilo, hivyo nilitaka kujua zaidi ikabidi nimdadis kulikoni? Akaniambia kuwa Wanaume wa Kimasai wanapokwenda suna (Jando) huwa wanatengenezwa kiasi kwamba wanakuwa na mbili, moja kubwa moja ndogo.
Kila moja ikiwa na kazi yake special katika maendeo tofauti kwa wakati mmoja na hii inamfanya mwadada achanganyikiwe.
Kwakweli nilibaki pwa kama mchuzi wa dagaa, mgeni anafahamu mimi sifahamu.
Sasa hebu ndugu zangu mliopo huko, kuna ukweli gani juu ya hii kitu na hii design ya Jando inakuwakuwaje?
Kama ni kweli vipi Kina dada wa Kibongo Mliopo huko au wale mliopata bahati ya kuwa na hao wamasai kuna ukweli gani na kuna tofauti gani na sisi waswahili wenye jando la kawaida?
Kuna uwezokano wa mtu kufanyiwa marekebishi kuwa kama mmasai?
Mimi nilikuwa sijawahi sikia hilo, hivyo nilitaka kujua zaidi ikabidi nimdadis kulikoni? Akaniambia kuwa Wanaume wa Kimasai wanapokwenda suna (Jando) huwa wanatengenezwa kiasi kwamba wanakuwa na mbili, moja kubwa moja ndogo.
Kila moja ikiwa na kazi yake special katika maendeo tofauti kwa wakati mmoja na hii inamfanya mwadada achanganyikiwe.
Kwakweli nilibaki pwa kama mchuzi wa dagaa, mgeni anafahamu mimi sifahamu.
Sasa hebu ndugu zangu mliopo huko, kuna ukweli gani juu ya hii kitu na hii design ya Jando inakuwakuwaje?
Kama ni kweli vipi Kina dada wa Kibongo Mliopo huko au wale mliopata bahati ya kuwa na hao wamasai kuna ukweli gani na kuna tofauti gani na sisi waswahili wenye jando la kawaida?
Kuna uwezokano wa mtu kufanyiwa marekebishi kuwa kama mmasai?