GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,847
Naona kama vile Urais wa Zanzibar ulikuwa unamsubiria kwa hamu Dkt. Hussein Ally Mwinyi kutokana na kwamba 'umempendeza' na 'unampendeza' halafu ameuvaa na wenyewe pia umemvaa vyema na kwa haraka sana kuliko hata 'Marais' wengine waliomtangulia. Watangulizi wake wengi 'Urais' wa Zanzibar ilionekana kama vile walikuwa 'wameubaka' tu na wenyewe ulikuwa 'hauwataki' kabisa.
Je, ni kwanini 'Urais' umemkubali kwa haraka mno Rais Dkt. Hussein Mwinyi? Je, tuanze sasa kuamini kuwa 'Urais' ni Zawadi yake Mwenyezi Mungu kwa Watu wake 'Maalum' tu?
Sijajua pia kama na Waziri Mkuu mmoja nae ikitokea akaachiwa 'Zigo' zito na gumu la Tanzania Bara hapo 2025 na 'Mkemia' wa Geita nae 'utampendeza' na 'kumkubali' kwa haraka kama wa Visiwani Zanzibar.
Je, ni kwanini 'Urais' umemkubali kwa haraka mno Rais Dkt. Hussein Mwinyi? Je, tuanze sasa kuamini kuwa 'Urais' ni Zawadi yake Mwenyezi Mungu kwa Watu wake 'Maalum' tu?
Sijajua pia kama na Waziri Mkuu mmoja nae ikitokea akaachiwa 'Zigo' zito na gumu la Tanzania Bara hapo 2025 na 'Mkemia' wa Geita nae 'utampendeza' na 'kumkubali' kwa haraka kama wa Visiwani Zanzibar.