Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,056
Kumbe ndio kitabu hicho kinavyosema? Mbona sasa tunawasingiziaga Waarabu kua ni wauwaji wakati kuna walioambiwa kuuwa wenzao ni agizo takatifu kwao
Ilikuwa edited lini mkiuHiyo bible imekuwa edited ninavyojua uvamizi ukitokea Nchi Fulani basi ndio mwisho wa Dunia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bible haipo kisayans bible iko kiroho zaidTunaanzia
Tuanzie hapa.
HIVI UKIWA MASHARIKI,MASHARIK YAKO INAKUA NI UPANDE GANI ?
Kidogo tuongea Biblia kisayansi.
Usiache hilo swali hapo tafadhali,linamajibu yote
Neno la Mungu ni neno la kiroho siyo la kisayansiTunaanzia
Tuanzie hapa.
HIVI UKIWA MASHARIKI,MASHARIK YAKO INAKUA NI UPANDE GANI ?
Kidogo tuongea Biblia kisayansi.
Usiache hilo swali hapo tafadhali,linamajibu yote
Aman iwe nanyi wakuu
Niko napitia bible hapa lakin nimeshangaa sana
Neno la bwana limenena juu ya waarabu kuwa watakuwa wa kutanga tanga na hawata kaa kwenye nchi zao na watu wa mataifa watayaharibu mataifa yao
Hivyo bwana kawaagiza waondoke kwenye nchi zao waende kwenye mataifa ya Raha
Soma Yeremia juu ya waarabu
Aya ya 49 kuanzia mstari wa 28_ 33
Mstari wa 28: bwana asema hivi ondoken panden hata kedari mkawateke wana wa mashariki
Katika msitari wa 28 Bwana wa majeshi ameagiza waarabu watweke nyara
Kwahiyo uvamizi wa ulaya na America juu ya waarabu ni maagizo kutoka kwa Bwana
Msitari wa 30 bwana ameagiza waarabu wakimbie wakitanga tanga
Msitari wa 31: Bwana amewaagiza waarabu wakimbilie inchi za raha katika mataifa wakaayo bila kuhangaika
Duh ebwana ee kusoma biblia kuna raha yake aisee
Msitari wa 32: unasema na waarabu wao pamoja na ngamia zao watakuwa mateka na watatweka nyara kwa makundi makundi
Bwana anaendelea kudai kuwa ataleta msiba wao
Msitari wa 33: unasema na hazori utakuwa kao la mbwa mwitu, ukiwa milele
Wala hapana mtu ataye kaa huko
Yaan hakuna mtu atayekaa uarabun patakuwa makao ya mbwa mwitu na patakuwa ukiwa milele na milele
Asema bwana
Jaman haya siyo maneno yangu wala maagizo yangu ni maagizo ya bwana Mungu
Swali je kwanini mwenyezi Mungu kayaamulisha mataifa yawateke waarabu na yawaue?
Je kwanini mwenyezi Mungu kawambia waarabu watakuwa wakutanga tanga
Na kwanini kawaambie wakimbilie kwenye mataifa ya raha?
Je waarabu wamelaaniwa?
Nb mimi sinaga kabisa tabia ya kusoma bible ndo leo tu nimeamua nipitie nipitie ndo nikakutana na habali hizi
Nimegundua kusoma bible kuna raha yake maana unafunguka na unakuwa siyo mgeni wa mambo
Hata ukiona vita mashariki ya kati wala husituki maana tiar bwana ashaandika na ashaagiza watu hawa wauwawe.
Asanten sana
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaanzia
Tuanzie hapa.
HIVI UKIWA MASHARIKI,MASHARIK YAKO INAKUA NI UPANDE GANI ?
Kidogo tuongea Biblia kisayansi.
Usiache hilo swali hapo tafadhali,linamajibu yote
Kama ni la kiroho na siyo la kisayansi,hiyo mashariki umeitolea wapi katika Biblia ?
Nitafasilie wewe mkuuMkuu, tatizo unasoma biblia kama 'novel', tafuta mwanatheolojia akusaidie kuitafsiri kiroho. Kwa utaratibu huo naona unapoteza dira, ungekuwa karibu nikukaribishe k-vant ili uachane na biblia
Sent using Jamii Forums mobile app
La kaleBiblia ipi?,agano la kale au jipya?,kama jipya ni fake newz,kuna mababylon waliiandika kwa maslahi yao binafsi,ni upotoshaji totally
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mkuu ni watu gani wanaotangatanga kati ya warabu na waafrika,kati ya warabu na wazungu,kati ya warabu na wahindi.Waafrika tunakufa kwa mamia bahari ya shamu kukimbilia ualaya.Wazungu wako kutangatanga kila kona ya dunia..Australia,America,Afrika mpaka Mugabe kawafukuza na sasa SA wanataka wawafukuza wawanyang'nye na mashamba.Aman iwe nanyi wakuu
Niko napitia bible hapa lakin nimeshangaa sana
Neno la bwana limenena juu ya waarabu kuwa watakuwa wa kutanga tanga na hawata kaa kwenye nchi zao na watu wa mataifa watayaharibu mataifa yao
Hivyo bwana kawaagiza waondoke kwenye nchi zao waende kwenye mataifa ya Raha
Soma Yeremia juu ya waarabu
Aya ya 49 kuanzia mstari wa 28_ 33
Mstari wa 28: bwana asema hivi ondoken panden hata kedari mkawateke wana wa mashariki
Katika msitari wa 28 Bwana wa majeshi ameagiza waarabu watweke nyara
Kwahiyo uvamizi wa ulaya na America juu ya waarabu ni maagizo kutoka kwa Bwana
Msitari wa 30 bwana ameagiza waarabu wakimbie wakitanga tanga
Msitari wa 31: Bwana amewaagiza waarabu wakimbilie inchi za raha katika mataifa wakaayo bila kuhangaika
Duh ebwana ee kusoma biblia kuna raha yake aisee
Msitari wa 32: unasema na waarabu wao pamoja na ngamia zao watakuwa mateka na watatweka nyara kwa makundi makundi
Bwana anaendelea kudai kuwa ataleta msiba wao
Msitari wa 33: unasema na hazori utakuwa kao la mbwa mwitu, ukiwa milele
Wala hapana mtu ataye kaa huko
Yaan hakuna mtu atayekaa uarabun patakuwa makao ya mbwa mwitu na patakuwa ukiwa milele na milele
Asema bwana
Jaman haya siyo maneno yangu wala maagizo yangu ni maagizo ya bwana Mungu
Swali je kwanini mwenyezi Mungu kayaamulisha mataifa yawateke waarabu na yawaue?
Je kwanini mwenyezi Mungu kawambia waarabu watakuwa wakutanga tanga
Na kwanini kawaambie wakimbilie kwenye mataifa ya raha?
Je waarabu wamelaaniwa?
Nb mimi sinaga kabisa tabia ya kusoma bible ndo leo tu nimeamua nipitie nipitie ndo nikakutana na habali hizi
Nimegundua kusoma bible kuna raha yake maana unafunguka na unakuwa siyo mgeni wa mambo
Hata ukiona vita mashariki ya kati wala husituki maana tiar bwana ashaandika na ashaagiza watu hawa wauwawe.
Asanten sana
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila siku tunawaambia hamuelewi huyu Mungu wenu ni tatizo badala ya kuwapa watu tabu na maangaiko sasa si bora asingewaumba tu !!!!Aman iwe nanyi wakuu
Niko napitia bible hapa lakin nimeshangaa sana
Neno la bwana limenena juu ya waarabu kuwa watakuwa wa kutanga tanga na hawata kaa kwenye nchi zao na watu wa mataifa watayaharibu mataifa yao
Hivyo bwana kawaagiza waondoke kwenye nchi zao waende kwenye mataifa ya Raha
Soma Yeremia juu ya waarabu
Aya ya 49 kuanzia mstari wa 28_ 33
Mstari wa 28: bwana asema hivi ondoken panden hata kedari mkawateke wana wa mashariki
Katika msitari wa 28 Bwana wa majeshi ameagiza waarabu watweke nyara
Kwahiyo uvamizi wa ulaya na America juu ya waarabu ni maagizo kutoka kwa Bwana
Msitari wa 30 bwana ameagiza waarabu wakimbie wakitanga tanga
Msitari wa 31: Bwana amewaagiza waarabu wakimbilie inchi za raha katika mataifa wakaayo bila kuhangaika
Duh ebwana ee kusoma biblia kuna raha yake aisee
Msitari wa 32: unasema na waarabu wao pamoja na ngamia zao watakuwa mateka na watatweka nyara kwa makundi makundi
Bwana anaendelea kudai kuwa ataleta msiba wao
Msitari wa 33: unasema na hazori utakuwa kao la mbwa mwitu, ukiwa milele
Wala hapana mtu ataye kaa huko
Yaan hakuna mtu atayekaa uarabun patakuwa makao ya mbwa mwitu na patakuwa ukiwa milele na milele
Asema bwana
Jaman haya siyo maneno yangu wala maagizo yangu ni maagizo ya bwana Mungu
Swali je kwanini mwenyezi Mungu kayaamulisha mataifa yawateke waarabu na yawaue?
Je kwanini mwenyezi Mungu kawambia waarabu watakuwa wakutanga tanga
Na kwanini kawaambie wakimbilie kwenye mataifa ya raha?
Je waarabu wamelaaniwa?
Nb mimi sinaga kabisa tabia ya kusoma bible ndo leo tu nimeamua nipitie nipitie ndo nikakutana na habali hizi
Nimegundua kusoma bible kuna raha yake maana unafunguka na unakuwa siyo mgeni wa mambo
Hata ukiona vita mashariki ya kati wala husituki maana tiar bwana ashaandika na ashaagiza watu hawa wauwawe.
Asanten sana
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mi nimeacha ushabiki wa warabu na wazungu kwa sababu wote nia yao sio nzuri kwa muafrika.Mwaka jana netanhyahu alirudisha Waafrika na kuwapeleka kwa kagame, af bado unamshabikia tu eti amebarikiwa halafu wewe umelaaniwa.Mwarabu nae anaua Waafrika wazamiaji na ma housegirl wanaingizwa utumqani bado umshabikia tu kisa na wewe ni muislamu huku anakubagua.Warabu was Afrika hawapendi hata umoja wa Afrika ila wanapovamiwa na mzungu wanataka huruma ya weusi AU.Hayo manyang'au ni shida kwa mtu mweusi.
Halafu ilikuwaje bwana mungu mzungu asijue kuandika wakati elimu ni Mali yake, ona sasa watu wamepotosha aliyonena.Kama ni la kiroho na siyo la kisayansi,hiyo mashariki umeitolea wapi katika Biblia ?
maana haiwezekani utaje pande za dunia za mashariki halafu uzitenge na sayansi labda utuambie hiyo mashariki ni mashariki ya kiroho na siyo ya kidunia.
Leo nilikuwa naangalia kumbu kumbu ya Holocaust Nazis waliua sana waisrael ndugu zao wakristo cha ajabu huwezi kukuta muisrael wa bongo aka mkristo akiwalaumu wajerumani wakristo wenzao kwa mauaji yale ila wanawalaumu waarabu tuMkuu mi nimeacha ushabiki wa warabu na wazungu kwa sababu wote nia yao sio nzuri kwa muafrika.Mwaka jana netanhyahu alirudisha Waafrika na kuwapeleka kwa kagame, af bado unamshabikia tu eti amebarikiwa halafu wewe umelaaniwa.Mwarabu nae anaua Waafrika wazamiaji na ma housegirl wanaingizwa utumqani bado umshabikia tu kisa na wewe ni muislamu huku anakubagua.Warabu was Afrika hawapendi hata umoja wa Afrika ila wanapovamiwa na mzungu wanataka huruma ya weusi AU.Hayo manyang'au ni shida kwa mtu mweusi.
Manazi,wajerumani mpaka Leo hawawapendi waislaelivila wanazuga tu.Ona Brexit wanajitoa kwa wazungu wenzao,wazungu wenyewe hawaaminiani rejea mgogolo wa china 5G trump vs China.Waafrika tunajifanya kuwaamini sana wazungu na warabu kwamba wao ndio kila kitu.Leo nilikuwa naangalia kumbu kumbu ya Holocaust Nazis waliua sana waisrael ndugu zao wakristo cha ajabu huwezi kukuta muisrael wa bongo aka mkristo akiwalaumu wajerumani wakristo wenzao kwa mauaji yale ila wanawalaumu waarabu tu
Sent using Jamii Forums mobile app